Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Watu hawana sababu za msingi kwa nini wana oa au olewa hili swali niliwahi uliza humu mpaka leo sijapata majibu ya kuridhisha.

Hakuna kitu cha msingi ndani ya ndoa ambacho nje ya ndoa utakosa.

Mpaka sasa nipende kuhitimisha kuwa ndoa ni useless, vijana wana oa na kuolewa kwa kufuata mkumbo wa jamii za kiafrika hawana sababu za msingi kabisa kwa nini wana oa au kuolewa.
Are you serious!! Utajengaje familia iliyojaa upendo na kujaliana nje ya ndoa? Watoto unaweza kupata nje ya ndoa lakini hutaweza kujenga loving bond na mtoto nje ya ndoa! Huwezi kujenga a lasting loving bond na mwanamke nje ya ndoa!! Mapenzi nje ya ndoa ni ya kudanganyana sana!! ni ya kuibiana sana!! Ukipata mtoto nje ya ndoa utakoma bili ya matunzo ya mtoto!! hapo kupitia mtoto utatunza na kiben ten cha mtu!! Kuna watu hawayawezi majukumu ya kwenye ndoa na yamewashinda na kudai mbichi hizo!!
 
Nilitegemea nitakutana na malaika kumbe tarumbeta tu.

yaani kutukanywa, kukashifiwa,mtoto kupigwa kisa kakasirika (kujionesha mwamba), yeye ndiye anapanga nini kifanyike licha ya kuwa mimi ndiye mleta pesa.
Hatari, kinachouma ni kwamba unapambana Sana kwa ajili ya familia ila familia inakuongezea stress badala ya kukupa hamasa
 
Huyo dem ulichanganyikiwa na bikra ukasahau other factors, inaonekana kama sio mjeuri basi hakupendi, hili nadhani umeshaambiwa na wakubwa zako nina uhakika kutokana na story yako,
Alaf ukimpiga miti vizuri akaridhika huyo atakua anaitaka mwenyewe
Kazi kwako
Nilijitahidi mno kuzingatia vigezo,

ila unajua Kuna maisha ya kufake wakati wa uchumba,

Mwisho ukimuoa ndio shida zinaanza
 
Nlifanya utafiti mdogo tu wa kusex na binti 1 kila siku, she is 18yrs nlianza kuwa nampa elf 5 kila siku akija nikimwambia ya boda, mda mwingine nampa elf 10. Kuna mda nikawa nampitia tu jion kila nikitoka job halafu nikimaliza mambo yangu namrudisha, nikaona amepunguza frequency na akawa na visingizio vingi tu napewa mara 1 ama 2 kwa wiki na ninakuta keshamegwa maana smell inabadilika.
Nikaanza tena kumpa hela kila siku na sas anakuja every day namega kisela
Unanunua sio?
 
Are you serious!! Utajengaje familia iliyojaa upendo na kujaliana nje ya ndoa? Watoto unaweza kupata nje ya ndoa lakini hutaweza kujenga loving bond na mtoto nje ya ndoa! Huwezi kujenga a lasting loving bond na mwanamke nje ya ndoa!! Mapenzi nje ya ndoa ni ya kudanganyana sana!! ni ya kuibiana sana!! Ukipata mtoto nje ya ndoa utakoma bili ya matunzo ya mtoto!! hapo kupitia mtoto utatunza na kiben ten cha mtu!! Kuna watu hawayawezi majukumu ya kwenye ndoa na yamewashinda na kudai mbichi hizo!!
Sema wewe hauwezi
 
Pesa imekuwa mbele ni kweli si umeona yule ndoa yake iliyovunjwa eti ana sura mbaya ,nyuma ya pazia alikuwa hana hela hata mahari walimpunguzia ila anaonekana pesa hana kabisa.
Yule jamaa alikuwa kwenye chumba cha kupanga, mbele mlangoni kuna zile pazia zenye marinda na ndani kuna giza tororo wakati ni mchana kweupe. Sura si waliiona kabla, ila kwake ndio walikuwa hawapajui wakakuta ni mnyonge wakaamua wamnyonge kweli.
 
Una umri gani mkuu, mm sikumbuki wife nlimgegeda mwaka gani
Halafu mnalala kitanda kimoja!! tafadhali, tafadhali, tafadhali!! Haiwezekani, labda kama mmetengana kabisa au mmetengana vyumba!!Mwanamke hata kama haspendi, kipindi akiwa kwenye ovulation/kipindi yai lake linaanguliwa, utelezi hutoka wenyewe!! hana jeuri ya kuuzuia, na genye kipindi hicho ni automatic!! kwa hiyo kama mmelala kitanda kimoja tumias lugha ya vitendo!! atakushukuru kimoyomoyo hata kama amekasirika!! Cha maana ni kuzijua dalili za mwanamke akiwa kwenye ovulation!! (mnisamehe ke kwa kuanika siri yenu ya kambi!)
 
Watu hawana sababu za msingi kwa nini wana oa au olewa hili swali niliwahi uliza humu mpaka leo sijapata majibu ya kuridhisha.

Hakuna kitu cha msingi ndani ya ndoa ambacho nje ya ndoa utakosa.

Mpaka sasa nipende kuhitimisha kuwa ndoa ni useless, vijana wana oa na kuolewa kwa kufuata mkumbo wa jamii za kiafrika hawana sababu za msingi kabisa kwa nini wana oa au kuolewa.
Wachache watakuelewa
 
aisee yaani unaoa alafu mke anakunyima utelezi na wew bado unahudumia??!!! mie ningefukuza kabisa anajaza choo tuu. jukumu la mwanamke ni kutoa mbususu basi hana cha ziada hapo ndani mwa munyumba bwana.

ah sielewagi hii story ya kumficha mke kipato chako. yeye anaambia kipato kiasi gani na matumizi yakoje. hataki ale nduki. yaani mwanaume mzima na mbupuz zako mke akuendeshe kama gari bovu. acha uboya. mwanamke ni chombo cha starehe na atabakia kuwa hivyo period wether ameolewa au hajaolewa.
Pole, laiti ungejua....
 
Huyo dem ulichanganyikiwa na bikra ukasahau other factors, inaonekana kama sio mjeuri basi hakupendi, hili nadhani umeshaambiwa na wakubwa zako nina uhakika kutokana na story yako,
Alaf ukimpiga miti vizuri akaridhika huyo atakua anaitaka mwenyewe
Kazi kwako
Sorry upo kwenye ndoa?
 
Back
Top Bottom