Bintimaringo
New Member
- Aug 1, 2023
- 4
- 13
Hata mimi niSitofanya sherehe ya harusi...
Gauni langu nataka liwe zuri sanaaa... nipige picha za ukumbusho nikitoka kanisani
Baada ya kanisani kila mtu akale kwao!
Yani kama mimi sitotaka sherehe yani nikitoka kanisan ni kupiga picha nzuri, twende honeymoon sehemu nzuri basi.Sitofanya sherehe ya harusi...
Gauni langu nataka liwe zuri sanaaa... nipige picha za ukumbusho nikitoka kanisani
Baada ya kanisani kila mtu akale kwao!