Ukute hata trako jana😂Hana shughuli za kufanya huko alikotokea b4 aje kwako? Hana wazazi?
Ujana chai ya moto...Makubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.
La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.
Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
Atavumilia ili umuone ni wife materialMakubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.
La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.
Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
Muombe tigo ,atagoma kisha ataondoka kwa hasira .Makubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.
La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.
Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
uzi ufungweMuombe tigo ,atagoma kisha ataondoka kwa hasira .