Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akienda kukushtaki polisi itakuwaje? 😃😃Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Daaah😹😹😹 Mfyuuuu!! Madako yako
Ahahahah hiyo ni roho mbayaYaani mtu ang'ang'anie kwangu? Anaanzaje? Namwambia straight go to your place,your time here is up.
Mbona sipati zali kama lako mkuuMakubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.
La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.
Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
Sasa hapo si unakula tu Mkuu....Umeomba, umepewa...Unataka nini tena?? Kula kisha tafuta mbinu nyingine....Baada ya kula...na kutosheka....Mfano akakubali kunipa je
Huo sio uhuni.....Ni Sunna.....Nimefanya sana uhuni ila sio kutindua mitaro
Kumbe fix tu na njaa zake na kutotulia.Atavumilia ili umuone ni wife material