Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Hapo ndio ukome ..... ulimaliza ufundi wote kwa gume ndume sasa ulitaki tena
 
Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Akienda kukushtaki polisi itakuwaje? 😃😃
 
Makubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.

La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.

Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
Mbona sipati zali kama lako mkuu
 
Sasa hapo si unakula tu Mkuu....Umeomba, umepewa...Unataka nini tena?? Kula kisha tafuta mbinu nyingine....Baada ya kula...na kutosheka....
Nimefanya sana uhuni ila sio kutindua mitaro
 
Tafuta ghetto lingine chukua mgambo hapo ofisi ya mtaa wape buku 10 muende hilo ghetto unaloishi mkifika hapo mgambo watoe vitu vyote ndani huku wanakutuhumu umeshindwa kulipa madeni ya watu kuwe na kirikuu karibu wapakie mzigo upelekwe ghetto jipya.

Laa sivyo huyo manzi haondoki mademu wa sahivi wanang'ang'ania kinoma kama hawana kwao wako tayari hata uwaue ila siyo waondoke
 
Back
Top Bottom