Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda kajaribu kwanza isipofanya kazi njoo tena nikupe mbinu nyingine.Mfano akakubali kunipa je
Ngoja nilete maandazi tusindikizie!!
Mkuu ushawahi tokewa na situations kama hiyo..Hakuna sababu ya kuwa MNAFIKI.
Mwite ukiwa serious mkumbushe kuwa yeye bado si mkeo na utakapo amua awe mke utafuata taratibu za kwenda kwao kujitambulisha ila kwa sasa mnaiba tu.
Muulize, iwapo angekuwa mkeo, angependa mtoto wenu wa kike akajimilikishe kwa mwanaume bila kufuata taratibu?
MPE NAULI AONDOKE.
Halafu kama huna mpango nae, muweke wazi pia kuwa huna mpango nae. Sio unampotezea muda miaka 5 halafu unaoa mwingine.
VIJANA TUACHE UNAFIKI KWA MABINTI. UMALAYA UNAWEZEKANA HATA BILA UNAFIKI.
Wee jamaa acha kujiita mtanashati ahahaahahha alafu nishakumbuka we jamaa ni dactari ujue ahahahahMuombe tigo ,atagoma kisha ataondoka kwa hasira .
Nilitafuta kufumaniwa
Haondoki ng'oo......huyo ameshafika.Makubaliano ilikuwa aje for weekend, ile weekend uliyopita, jumatatu nikamuachia posho ya uchafuzi na nauli nikamuonyesha sehemu ya kuweka funguo nikaenda kibaruani.
La haulaaa jioni kurudi nakuta ile hela kanunua masufuria, msosi wa nguvu nguo zetu zimefuliwa yupo kwenye khanga moko.
Sasa ni wiki moja haonyeshi dalili ya kuondoka, nataka nitengeneze safari ya kikazi ya kutunga niwe nalala hata lodge bila kumuachia matumizi najua njaa itamkimbiza tu.
Mlete jamaa ako ujifanye ghetto sio lako alikuazima tu, halafu umwambie akufokee mbona umevaa hadi nguo zake na ukazifua wakati alikuazima kwa muda tu. Lazma ataondoka.
NB: Hakikisha na huyo demu anayashuhudia hayo
Daah kuna mashangaz wasenge wanatoa Bro🤣Muombe tigo ,atagoma kisha ataondoka kwa hasira .
Huyo akitoa unamgeuka kama hivi..Daah kuna mashangaz wasenge wanatoa Bro🤣