Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Nae anakuomba msamaha kwa hisia huku analia akikueleza ni upendo tu juu yako ulimfanya ashindwe kukukatalia kwani nae hajawahi.
""Kwahiyo huko nyuma ao uliopita nao naamini uliwapenda je walikuacha salamaaa HAPANA siwezi siwezi...
Nimeanza kukuogopa sasa...
Kwanini ulishindwa kunizungusha kwanza ila ukawa mwepesi hivo crista."""""
Huku nalia kwa kwikwi... Na nakemea kabisa
 
Hakuna sababu ya kuwa MNAFIKI.

Mwite ukiwa serious mkumbushe kuwa yeye bado si mkeo na utakapo amua awe mke utafuata taratibu za kwenda kwao kujitambulisha ila kwa sasa mnaiba tu.

Muulize, iwapo angekuwa mkeo, angependa mtoto wenu wa kike akajimilikishe kwa mwanaume bila kufuata taratibu?
MPE NAULI AONDOKE.

Halafu kama huna mpango nae, muweke wazi pia kuwa huna mpango nae. Sio unampotezea muda miaka 5 halafu unaoa mwingine.

VIJANA TUACHE UNAFIKI KWA MABINTI. UMALAYA UNAWEZEKANA HATA BILA UNAFIKI.
Kwa umri wake na wangu hatuna cha kupoteza,ndoa sio kipaumbele changu,.
 
""Kwahiyo huko nyuma ao uliopita nao naamini uliwapenda je walikuacha salamaaa HAPANA siwezi siwezi...
Nimeanza kukuogopa sasa...
Kwanini ulishindwa kunizungusha kwanza ila ukawa mwepesi hivo crista."""""
Huku nalia kwa kwikwi... Na nakemea kabisa
Dah ila hii njia naitunza ntaitumia nikifika huko siku moja.
 
Chukua begi lako kapange mahali pengine,huko usirudi Tena.
 
Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Mkuu hii comment imenifanya nimuonyeshe wife huu uzi halaf nikampa asome hii comment, tumecheka mpaka machozi 😂😂
 
Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Mkuu fanya check up ya fuvu 😂 😂 😂 😂 lipo tupu fuvu lako
 
Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti msindikize na ubapa wa panga.
 
Back
Top Bottom