Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mtoe out, huku nyuma wape boda kazi ya kuhamisha vitu......akirudi anakutana na mwangwi tu huko ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ukatili sasa😂😂😂😂😂😂😂.Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
😹😹😹 Mfyuuuu!! Madako yakoMlete jamaa ako ujifanye ghetto sio lako alikuazima tu, halafu umwambie akufokee mbona umevaa hadi nguo zake na ukazifua wakati alikuazima kwa muda tu.
NB: Hakikisha na huyo demu anayashuhudia hayo, asipochimba nihasiwe
Ahahahaa daahBora iwe, kuliko kuuziwa mbuz kwa gunia.
Ahahaha daah mi huwa natamani ajue ila ndo hivo yeye ni instagram na yeyeHiyo jf yenyewe kaijulia kwangu
Hakuna ugumu wowote kumwambia mwanamke haupo tayari kumtunza kama mke wako na kuishi nae. Ni udhaifu kushindwa kufanya hivyo.Mkuu ushawahi tokewa na situations kama hiyo..
Au unazani ni simple kama X+5=10
Sasa unashindwa nini kuwa na ujasiri wa kumwambia sihitaji mke kwa sasa?Kwa umri wake na wangu hatuna cha kupoteza,ndoa sio kipaumbele changu,.
Mkuu kama una roho ya namna hiyo...Hakuna ugumu wowote kumwambia mwanamke haupo tayari kumtunza kama mke wako na kuishi nae. Ni udhaifu kuahindwa kufanya hivyo.
Hakuna maisha huru ya kingono na kimapenzi kama maisha ya kuukwepa unafiki. Jaribu utakubali.Mkuu kama una roho ya namna hiyo...
We jamaa sio sizani kama una uhusiano mzuri na jamii yako..
Kweli unamwambia mwanamke hivo serious unaanzaje kwanza...
Unakua unamwangalia au unakua unaangalia chini...?
Duuuuh aiseee ila hii imeenda mkuu.Hakuna maisha huru ya kingono na kimapenzi kama maisha ya kuukwepa unafiki. Jaribu utakubali.
Yaani humtaki mtu tafuta namna nzuri ya kumweleza kuwa humuitaji huku ukizingatia ubinadamu.
Unafiki wa mapenzi huleta maafa, mwenzako anakuwa hajui unachotaka sababu wewe ni mnafiki.
Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k
Ashindwe yeye tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo umuoe unamwita tu kunanilii, amekurahisishia huduma utaipata kila siku asbh mchana na usiku[emoji1787][emoji1787]
Uko sahihi kabisaaa!!Hakuna sababu ya kuwa MNAFIKI.
Mwite ukiwa serious mkumbushe kuwa yeye bado si mkeo na utakapo amua awe mke utafuata taratibu za kwenda kwao kujitambulisha ila kwa sasa mnaiba tu.
Muulize, iwapo angekuwa mkeo, angependa mtoto wenu wa kike akajimilikishe kwa mwanaume bila kufuata taratibu?
MPE NAULI AONDOKE.
Halafu kama huna mpango nae, muweke wazi pia kuwa huna mpango nae. Sio unampotezea muda miaka 5 halafu unaoa mwingine.
VIJANA TUACHE UNAFIKI KWA MABINTI. UMALAYA UNAWEZEKANA HATA BILA UNAFIKI.
Pamoja sana mkuu.Duuuuh aiseee ila hii imeenda mkuu.
Daah pengine nilichelewa kukujua mkuu haya madini ni wazi wewe upo sehemu fulani....
"""Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k"""
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie wewe [emoji304] na boyfriend wako anayekulipia kodi anakuja toka Saudia
Yaani mtu ang'ang'anie kwangu? Anaanzaje? Namwambia straight go to your place,your time here is up.Mkuu kama una roho ya namna hiyo...
We jamaa sio sizani kama una uhusiano mzuri na jamii yako..
Kweli unamwambia mwanamke hivo serious unaanzaje kwanza...
Unakua unamwangalia au unakua unaangalia chini...?
Unatafuta visa ya mimba?Mkaze kisawa sawa kila inapoitwa leo.