Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Ulitumia mbinu gani kumuondoa mwanamke aliyeng'ang"ania gheto?

Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Huu ukatili sasa😂😂😂😂😂😂😂.
Mwamba akihitaji waganga feki waziada anishtue niende nae.
 
Hakuna ugumu wowote kumwambia mwanamke haupo tayari kumtunza kama mke wako na kuishi nae. Ni udhaifu kuahindwa kufanya hivyo.
Mkuu kama una roho ya namna hiyo...
We jamaa sio sizani kama una uhusiano mzuri na jamii yako..

Kweli unamwambia mwanamke hivo serious unaanzaje kwanza...

Unakua unamwangalia au unakua unaangalia chini...?
 
Mkuu kama una roho ya namna hiyo...
We jamaa sio sizani kama una uhusiano mzuri na jamii yako..

Kweli unamwambia mwanamke hivo serious unaanzaje kwanza...

Unakua unamwangalia au unakua unaangalia chini...?
Hakuna maisha huru ya kingono na kimapenzi kama maisha ya kuukwepa unafiki. Jaribu utakubali.

Yaani humtaki mtu tafuta namna nzuri ya kumweleza kuwa humuitaji huku ukizingatia ubinadamu.

Unafiki wa mapenzi huleta maafa, mwenzako anakuwa hajui unachotaka sababu wewe ni mnafiki.

Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k
 
Hakuna maisha huru ya kingono na kimapenzi kama maisha ya kuukwepa unafiki. Jaribu utakubali.

Yaani humtaki mtu tafuta namna nzuri ya kumweleza kuwa humuitaji huku ukizingatia ubinadamu.

Unafiki wa mapenzi huleta maafa, mwenzako anakuwa hajui unachotaka sababu wewe ni mnafiki.

Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k
Duuuuh aiseee ila hii imeenda mkuu.
Daah pengine nilichelewa kukujua mkuu haya madini ni wazi wewe upo sehemu fulani....

"""Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k"""
 
Hakuna sababu ya kuwa MNAFIKI.

Mwite ukiwa serious mkumbushe kuwa yeye bado si mkeo na utakapo amua awe mke utafuata taratibu za kwenda kwao kujitambulisha ila kwa sasa mnaiba tu.

Muulize, iwapo angekuwa mkeo, angependa mtoto wenu wa kike akajimilikishe kwa mwanaume bila kufuata taratibu?
MPE NAULI AONDOKE.

Halafu kama huna mpango nae, muweke wazi pia kuwa huna mpango nae. Sio unampotezea muda miaka 5 halafu unaoa mwingine.

VIJANA TUACHE UNAFIKI KWA MABINTI. UMALAYA UNAWEZEKANA HATA BILA UNAFIKI.
Uko sahihi kabisaaa!!
 
Njia 1. Tafta rafiki wa kike uje nae pale mmeshikana mikono then unamtambulisha kama binamu yako...

Njia 2. Mwambie baba mwenye nyumba azuge kama anawafukuza kodi imeisha...

Njia 3. Mwambie aende kwao kama atakuelewa...

Njia 4. Vuna ulichokipanda...
 
Duuuuh aiseee ila hii imeenda mkuu.
Daah pengine nilichelewa kukujua mkuu haya madini ni wazi wewe upo sehemu fulani....

"""Mara nyingi mnafiki ni looser, anaishia kuzaa na asiyemtaka, anaishia kuishi na asiyemtaka, anaishi maisha ya kupretend n.k"""
Pamoja sana mkuu.
 
Mkuu kama una roho ya namna hiyo...
We jamaa sio sizani kama una uhusiano mzuri na jamii yako..

Kweli unamwambia mwanamke hivo serious unaanzaje kwanza...

Unakua unamwangalia au unakua unaangalia chini...?
Yaani mtu ang'ang'anie kwangu? Anaanzaje? Namwambia straight go to your place,your time here is up.
 
Mwambie unapata mgeni kesho sema ni kaka yako au mdogo wako,aje na begi kabisa,huyo mwambie akupishe kidogo
 
Back
Top Bottom