Nae anakuomba msamaha kwa hisia huku analia akikueleza ni upendo tu juu yako ulimfanya ashindwe kukukatalia kwani nae hajawahi.Huyo akitoa unamgeuka kama hivi..
"" Kumbe haya mambo unapenda, mi nilikua nakutega mbona una mambo ya uchafu hivi. ""
Siwezi kuwa na wewe TOKA unaongea kwa hisia huku unalia
""Kwahiyo huko nyuma ao uliopita nao naamini uliwapenda je walikuacha salamaaa HAPANA siwezi siwezi...Nae anakuomba msamaha kwa hisia huku analia akikueleza ni upendo tu juu yako ulimfanya ashindwe kukukatalia kwani nae hajawahi.
Kwa umri wake na wangu hatuna cha kupoteza,ndoa sio kipaumbele changu,.Hakuna sababu ya kuwa MNAFIKI.
Mwite ukiwa serious mkumbushe kuwa yeye bado si mkeo na utakapo amua awe mke utafuata taratibu za kwenda kwao kujitambulisha ila kwa sasa mnaiba tu.
Muulize, iwapo angekuwa mkeo, angependa mtoto wenu wa kike akajimilikishe kwa mwanaume bila kufuata taratibu?
MPE NAULI AONDOKE.
Halafu kama huna mpango nae, muweke wazi pia kuwa huna mpango nae. Sio unampotezea muda miaka 5 halafu unaoa mwingine.
VIJANA TUACHE UNAFIKI KWA MABINTI. UMALAYA UNAWEZEKANA HATA BILA UNAFIKI.
Dah ila hii njia naitunza ntaitumia nikifika huko siku moja.""Kwahiyo huko nyuma ao uliopita nao naamini uliwapenda je walikuacha salamaaa HAPANA siwezi siwezi...
Nimeanza kukuogopa sasa...
Kwanini ulishindwa kunizungusha kwanza ila ukawa mwepesi hivo crista."""""
Huku nalia kwa kwikwi... Na nakemea kabisa
Sema wee jamaa utakua jamaa flan hovyo sana kama umechukulia seriously hii ishu...Dah ila hii njia naitunza ntaitumia nikifika huko siku moja.
Mkuu hii comment imenifanya nimuonyeshe wife huu uzi halaf nikampa asome hii comment, tumecheka mpaka machozi ππTafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Mkuu fanya check up ya fuvu π π π π lipo tupu fuvu lakoTafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Anajua username yako shemeji lakiniMkuu hii comment imenifanya nimuonyeshe wife huu uzi halaf nikampa asome hii comment, tumecheka mpaka machozi ππ
Au ukute fuvu lina MAVIMkuu fanya check up ya fuvu π π π π lipo tupu fuvu lako
Hii ni kabambe yani K.O unamaliza gameπ€£Sema wee jamaa utakua jamaa flan hovyo sana kama umechukulia seriously hii ishu...
Ahahahahaha et anasema kabisa πππ
""Dah ila hii njia naitunza ntaitumia nikifika huko siku moja"""
Ahahah..hapana, hajui chochote kuhusu jamiiforumAnajua username yako shemeji lakini
Mkuu unaweza kuonekana wa hovyo sana ujue ahahahaHii ni kabambe yani K.O unamaliza gameπ€£
Jichanganye tuu..Ahahah..hapana, hajui chochote kuhusu jamiiforum
Bora iwe, kuliko kuuziwa mbuz kwa gunia.Mkuu unaweza kuonekana wa hovyo sana ujue ahahaha
Hiyo jf yenyewe kaijulia kwanguJichanganye tuu..
Kuwa makini lakini mkuu ooooh
πππππππππeti msindikize na ubapa wa panga.Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga