Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Mkuu pasco, leta mada za moto za voices from within tuumize vichwa kidogo
 

Uliwahi kula vyakula vya makabila gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?​

 
mongolian rice
 
Leo nilipita bandiko hili nikambuka Le Mutuz, tunafanana hii hobby ya kupenda travelling and feasting on tasty delicious meals!.
RiP Le Mutuz!.
P
 
Huu uzi haumaanishi vyakula vya kuliwa na kinywa (japo kinywa kinaweza kutumika kama nyezo moja ya ulaji wa vyakula hivi kama kunogesha) tofauti na watu wanavyofunguka kuhusu ubwabwa wao na nyama.

Anyways mimi binafsi niseme ni mpenzi hasa wa kuonja 'chakula' cha kila sehemu niendapo.
Na kuna sehemu kadhaa tumefanana katika uonjaji hasa south Africa (Xhosa, Zulu, Bushmen, Afrikaners), Malawi (Chewas), Zimbabwe (Shona, huku nilinogewa mpaka kuchukua mpishi mazima mpaka leo).

Kuna experience fulani ya tofauti unayoipata katika kila 'chakula' cha sehemu tofauti tofauti.
 
Wana njia zao za kukukirimu. Hizi unapaswa uzijue na kuzianza mapema. Jina lako si rafiki sana kuweza kupata ukarimu wao kuweza kukulisha.
True, kule wameshika sana dini, halafu wapishi wa kipemba hawapendi kukirimu wageni Wagalatia!, kiukweli kuna watu tuna dhambi!, mkisikia tunaadhibiwa!, acheni tuu tuadhibiwe!, mtu unadanganya jina ili tuu uonjeshwe!, na unadanganya kuwa ukipendezewa, eti uko tayari kusilimu!, mtu hadi unavaa kanzu na baraghashia ili tuu ukirimiwe, ukaribishwe chakula!.
P
 
Sidhani kama anamaanisha vyakula hivyo huyi Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…