Kwa hiyo unatushauri na sisi 'wanao' tule 'raha'..to the fullest '...?It's about being truthful to yourself and very transparent to the society kuhusu mapito yetu tuliopitia, hata ukisikia jamaa amechomoka, utasikitika kwa sababu ulimfahamu, lakini sio kumlilia but to celebrate his life kuwa he lived his life to the fullest!. Mungu ametuleta duniani ili tule raha, ndio maana Eva akamegwa tunda akapata raha, akamlazimisha Adam kumega tunda, wakala raha na kuishia uzingizini!. Mungu ametuumba kula raha!, life is all about kula raha, hivyo kama ni raha tumekula sana na tumefaidi sana tuu!.
P
Yes that is the purpose of life, hapa duniani ni tunapita tuu, kule peponi, kila mwanaume ametengewa wanawali 7 wa kumpa raha, na huko ni raha milele, kitu muhimu kwenye kula, kula vinono, usifakamie, usizidishe ukavimbiwa, na angalia usalama kwanza.Kwa hiyo unatushauri na sisi 'wanao' tule 'raha'..to the fullest '...
Mfalme Suleiman alikula hizo 'raha' zaidi yako, ila mwishowe alikiri yote hayo ni 'ubatili mtupu '.It's about being truthful to yourself and very transparent to the society kuhusu mapito yetu tuliopitia, hata ukisikia jamaa amechomoka, utasikitika kwa sababu ulimfahamu, lakini sio kumlilia but to celebrate his life kuwa he lived his life to the fullest!. Mungu ametuleta duniani ili tule raha, ndio maana Eva akamegwa tunda akapata raha, akamlazimisha Adam kumega tunda, wakala raha na kuishia uzingizini!. Mungu ametuumba kula raha!, life is all about kula raha, hivyo kama ni raha tumekula sana na tumefaidi sana tuu!.
P
Umeambiwa chakula cha usiku yahani dinner π²π΄π½οΈ......elewa chakula cha usiku.Niki read between the line na was was na chakula na hisi ni kile chakula kingine maana mtoa mada ni bingwa la fasihi , na sifa ya fanani wa fasihi ni kuongea asichomaanisha and beyond
Alikudanganya...!Wanaume ni π kuna mtu aliwahi nambia amekula chakula mpaka anasikia ananuka chakula chakula tu ndo wewe sasa
Wengine tupo sensitive sana na vyakula.
Roho ikikataa unaachana nacho.
Moshi ni wilaya boss.
Ukweli ni upi?Alikudanganya...!
Ukweli ni upi?
πHuwezi kula harufu ikakubakia...anaebakiwa na harufu ni mpishi na anae pikwaπππ
Nini mbona umekodoa... harafu hujatuambia wewe umekula vyakula vya nchi zipi na zipiππππ
Mm nilikula chakula cha Tanga aisee hapana wale watu mafundi aisee...
Halafu wambulu nao hawapo nyuma...rangi ya chakula cha kimbulu....sasa!...
Moshi kwetu sio saaana....
Wanawake kwenye kula hatujiachii sana maana kadri unavyokula aina nyingi ndivyo na ladha inapoteaNini mbona umekodoa... harafu hujatuambia wewe umekula vyakula vya nchi zipi na zipiπππ
Kwahiyo Bora sisi tujipakulie minyama yetu kimataifa...!Wanawake kwenye kula hatujiachii sana maana kadri unavyokula aina nyingi ndivyo na ladha inapotea