Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Huu uzi nimegundua kuna jinsia wametengwa kiaina kwa sababu wanajua wakisema vyakula walivyokula kuna maeneo hukumu itaambatana nao. Ila naona vyakula vya Tanga havijaacha kusifiwa. Naongezea kura yangu hapo.

Pia najazia kama alivyosema bamdogo Pasco kuwa vyakula vinavyoonekana kwa nje ni vya kawaida ni vitamu kuliko mtizamo wake. Wale wa ''ndanindani'' na wanaoonekana hawajui kujipara wana balaa.
 
Nipasuke msamba aku babu, hivi list ya pasi umeiona?
List isikuogopeshe, ukipita kwenye meza ya buffet, sio lazima kula kila kitu, unaweza kuonja tuu kwanza, ukijiona ni kitamu, na umependezewa, ndipo unajipakulia na kwenda kujilia zako.

Mfano, leo ninapoandika hapa, niko zangu Mtwara, ndio najishauri nikapige menu wapi..., nishuke restaurant, niitishe room service, au nikachukue take away.

Kama mtu unapenda kulo misosi mizuri, hali ya mfuko inakuruhusu kula vitu vizuri, na viti vizuri vya kuliwa vipo plenty!, why not?., ni unajilia tuu ...
P
 
Nikajua umeacha kula mahotelini kumbe bado hata mama ntilie unakulaga, na wewe ndo mtu mzima hivyo je hawa walio kwenye 30-40 si ndo watalala huko huko vibandani wakila na makombo, wanaume punguzeni uroho
 
Nikajua umeacha kula mahotelini kumbe bado hata mama ntilie unakulaga, na wewe ndo mtu mzima hivyo je hawa walio kwenye 30-40 si ndo watalala huko huko vibandani wakila na makombo, wanaume punguzeni uroho
Kuna aina 3 za walaji wa vyakula vya hotelini.
1. Wasafiri, unapokuwa safarini, unajikuta lazima ule vyakula vya hotelini hivyo hawa ni walaji wa hotel in need, lazima wale hotelini.
2. Wale ambao wanaboreka na chakula cha nyumbani, hivyo wanakula hotelini kwa hamu tuu.
3. Kundi la 3, ni diners, hawa ni regular, wanakula hotelini not for need but for choice, mimii ndio niko kundi hili.

Mimi nilioa very young na wife ni classmates wangu, wale school sweethearts. I was 25, she was 21. Tukaondoka bongo, tukahamia UK, our first born akazaliwa kule, tukahamia US, our 2nd born akazaliwa kule. Kule wife akapata scholarship ya 4 years, hivyo ikanibidi mimi na watoto turudi Bongo. Tulikuwa tunakula nyumbani Monday to Thursday's, from Friday night, Saturday's and Sunday's ni kula out.

After 4 years, akaongeza 2 years za Ph.D, hivyo 6 years. na baada ya hapo nikampelekea watoto, mimi nikarudi Bongo, ikawa sihitaji tena kula home, mimi nikawa ni mtu wa eating out kuanzia chips vumbi, takeaways na dinning out.

Hii sasa kula hotelini imegeuka tabia, nikisafiri ndio kabisa, lazima nile vyakula vya huko nilipo, ndio mpaka leo, mpaka kesho, mimi na misosi ya hotelini, misosi ya hotelini na mimi. Hii sasa ni tabia.
P
 
Dah umetisha kwahiyo kilichopikwa home kichache kimwagwe au hotelini unakula ukirudi home napo unakula? Kwani ukifunga chakula kutokea nyumbani ukaenda nacho kinapungua utamu?
 
Dah umetisha kwahiyo kilichopikwa home kichache kimwagwe au hotelini unakula ukirudi home napo unakula? Kwani ukifunga chakula kutokea nyumbani ukaenda nacho kinapungua utamu?
Wanaume wa Kiswahili hatuna utamaduni wa kufungasha vyakula, labda wenzetu wazungu na wanawake.

Siwekewi chakula home, huwa nakula mchana tuu siku nipo, na nakula home kile cha usiku, siku akiwepo, lakini nikisafiri, ni kula hoteli tuu.

Kuna siku zinatokeaga, unapita mahali anatamani kuonja chakula cha nje, huku home, chakula cha ndani kinakusubiri, unaonja cha nje, na ukifika home, unazuga kula cha ndani, na kujifanya umechoka sana, unapiga tonge moja, mbili kuzugia tuu ili usishtukiwe umeisha kula, na kujifanya umechoka sana ili usile kile chakula cha usiku. Enzi zile za ujana, unakula chakula cha nje, na ukifika ndani, unakula tena na cha nyumbani .

P
 
Hakuna kitu kinatuumiza kama msipokula chakula tunachowaandalieni nyumbani na kuishia kukimwaga
 
Hakuna kitu kinatuumiza kama msipokula chakula tunachowaandalieni nyumbani na kuishia kukimwaga
No mimi kwangu, hata kama sili, hatumwagi chakula, kesho yake mchana napashiwa. Nina bahati sana wife sio Mwanamke wa kupika type, she is a working class with no love na kupika, hivyo mpishi ni dada, ule, usile, it makes no difference, ila usipokula kile chakula cha usiku, ni kesi, ndio maana unakula nje, unashiba, ukifika ndani unakula tena as if haujala.
P
 
Pasco, chakula cha usiku unachomaanisha ni kipi?
 
Masikini Pascal! Nafsi haikusuti?
Kwa usalama wako ni bora tu uokoke!
 
Mtoa mada hajaongelea vyakula vya kawaida, amejisifia uzinifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…