Mambo ya kike hayoAcheni ujuaji, mbona hakuna uhusiano wowote kublockiana na uchoko
Naunga mkono hojaHivi mnajikutaga kina naniππ.. Mara wanao weka status hawana akili nzuri mara kublockiana ujinga heee, mnataka tufanyaje sasa nyie malaika wa Jf etiπ€π??? Maana kila kitu mnasema tabia za kike mara machoko mara sijui nini acheni hizo,
Mtu akizingua anablockiwa tu, na sijawahi kumunblock mtu niliyemblock
hizo kabati za block na ignore list si bado zinakuepo tu kwenye kifaa chako cha mawasilino na kuna siku unaweza chungulia ukamuona ulomblock au kumuignore na akarestore upya kilichofanya ukamblock?Option ya ignore/block iliwekwa mahsusi kwa ajili ya watu wasioendana, waliopishana na ambao hawataki tena interaction. Humu jf tu nikiona mtu na pigo sizielewi naignore.
Kila nikiona reply yako nauona uandishi wa dada yangu wa kinyak ipo siku nitamuulizaNa wablock wale wahindi waliobarikiwa mijegejo π₯΄π₯΄ Wana balaa Sana.
π Duniani wawili wawili mkuu.Kila nikiona reply yako nauona uandishi wa dada yangu wa kinyak ipo siku nitamuuliza
unamsahau vip angali umemuhifadhi vizuri sana tena katika file maalum, katika simu au kifaa chako cha mawasilino? π
Kikishikwa muhimuπππili muelewe kusiwe na maswali mengi...hamchelewi kusema nakimbilia kushikwa kisimiπ
π π π Sitaki niseme sana nitamuuliza mwenyewe, nampenda ni mkweli . Ningekua na Broo ningemrogea kwakeπ Duniani wawili wawili mkuu.
Akikujibu ni tagumemblock, umemuignore au umemdelete π
Wacha weeπ π π Sitaki niseme sana nitamuuliza mwenyewe, nampenda ni mkweli . Ningekua na Broo ningemrogea kwake
I think deleting is the best thing...Lile eneo la block list huwa sitembelei na mara nyingi nikishablock nikaliona eneo lenye list nafuta pia panakua wazi. Humu JF ignore list huwa siitembelei hivyo nshawasahau wakazi wa huko
Hahaaaa una Hatari Sana.π π π Sitaki niseme sana nitamuuliza mwenyewe, nampenda ni mkweli . Ningekua na Broo ningemrogea kwake