Nirogee kaka ako basi π πWacha wee
Mimi niende wapiNirogee kaka ako basi π π
bwana usinichekeshe mi sitaki i cant believHahaaaa una Hatari Sana.
hiyo ni psychological torture π€£Mimi Wala huwa siblock mtu, ila huwa nafanya kitu kinaitwa " ghosting"
Yaani naachana na wewe kimya kimya kimya ukinipigia simu nakausha tu sipokea.
WhatsApp nakubluetick, message nasoma ila sireply
Na huwa wanateseka Sana nakwambiaπhiyo ni psychological torture π€£
mpaka aje mwenyewe physically muyamalize right?π
ππNa wablock wale wahindi waliobarikiwa mijegejo π₯΄π₯΄ Wana balaa Sana.
ila yupo kwenye blocklist yako mpaka saivi au blocklist hua zinafutika baada ya muda?Nimeshawahi kumblock dada mmoja miaka mitatu iliyopita....
Mimi nilimega kisela yeye akawa analeta za kugandana......Hadi Leo hii Sina mawasiliano nae!!
Yes zipo sababu nyingi but kublock au kuignore ni sawa na kumuhifadhi mtu ambae utamuhitaji next time, kwasabb bado atakuwepo kwenye kifaa cha mawasiliano yako πAcheni kujifanya wajuaji.. kuna sababu nyingi mtu hadi akaamua kublock watu
actually tabia za watu wenye,Mimi nimepigwa block na Malisa kule twitter na hata sijui kosa langu nini