Uliwahi kuogopa sana kufanya nini ila baada ya muda ukaona ni kawaida tu tena ni kama vile umechelewa kuanza

Uliwahi kuogopa sana kufanya nini ila baada ya muda ukaona ni kawaida tu tena ni kama vile umechelewa kuanza

Nilikua naogopa somo la hesabu shule ya msingi. Wakati nipo darasa la 5 kipindi cha likizo kaka angu akawa ananifundisha ndipo nikaja kugundua kumbe ulikua uoga wangu tu ila hisabati ni somo rahisi sana. Mtihani wa taifa darasa la 7 nilifaulu kwa daraja la kwanza na hesabu nilipiga 50/50 nikachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza azania secondary
aiseee dah:BRUHMM:
 
Nilikua naogopa somo la hesabu shule ya msingi. Wakati nipo darasa la 5 kipindi cha likizo kaka angu akawa ananifundisha ndipo nikaja kugundua kumbe ulikua uoga wangu tu ila hisabati ni somo rahisi sana. Mtihani wa taifa darasa la 7 nilifaulu kwa daraja la kwanza na hesabu nilipiga 50/50 nikachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza azania secondary
Umesoma mwaka gani
 
Nilikuwa naogopa kutongoza siku zaenda upwiru nao ukawa unanishambulia!,nikajikaza nikaimbuisha mtoto mmoja hivi nyuma sio kabinuka ni kabenjuka! Babu nilikataliwa vibaya nikajiona mimi sio binadamu ni ng'ombe!!.

Zikapita siku upwiru ukawa unanihamasisha nitongoze tena nikatongoza kitoto chakawaida tu sema ngozi ya mtume! Na mara hii nikakataliwa! Hiyo siku nililia huku napiga kelele hadharani kwa watu nalalamika ya kwamba mi upwiru wangu niupeleke wapi sasa?

Nilikaa mwezi mmoja nikaona nyie waja msinitanie nikazama bafuni na sabuni ya unga nikaipendezesha nafsi..😂😂
Nondo Bakari Mwamnyeto.
 
Woga na hofu miongoni mwa wangwana wengi humu duniani, vimechelewesha na kukosesha watu vitu na mambo mengi mazuri sana waliyopaswa kua nayo au kuyafikia mapema katika dunia hii.

Majasiri wengi, walioamua na waliothubutu bila kusita walifanikiwa mapema kutimiza ndoto, nia, matarajiao na matamanio yao ya maisha mapema.

Kwa upande wako hofu na woga wako vimekuchelewesha na kukukosesha vitu au mambo gani muhimu maishani mwako? Ulitokaje salama kwenye mkwamo huo, na unajutia hofu na woga wako.

Kumbuka woga wako unaweza kua ndio chanzo umaskini wako
Niliogopa sana kuwa mimi, nikavaa uhalisia wa watu wengine. Kumbe njia yangu ni yangu. Tangu nimejikubali, njia yangu imekuwa nyepesi sana kupita na mafanikio ni mengi.
 
Back
Top Bottom