Uliwahi kuogopa sana kufanya nini ila baada ya muda ukaona ni kawaida tu tena ni kama vile umechelewa kuanza

Uliwahi kuogopa sana kufanya nini ila baada ya muda ukaona ni kawaida tu tena ni kama vile umechelewa kuanza

Kuna kipindi nilikopa mitandaoni jamaa wakawa wanasema watanifuata nyumbani kesho.
Sasa kesho yake nikawa nimetoka kidogo, kurudi home nakuta Kuna gari silijui limepaki karibu kabisa na nyumbani. Duh ilibidi nirudi nyuma. Baadaye nikaja kugundua kwamba Ile gari iliharibika na dreva alikua amekwenda kununua spea Kariakoo.
😂😂 nmecheka sana dah
Kelsea njoo huku.
 
Nilikaa mwezi mmoja nikaona nyie waja msinitanie nikazama bafuni na sabuni ya unga nikaipendezesha nafsi..😂😂
Hahasha sabuni ya unga ulibugi. Inaunguza.

Nakumbuka kuna kipindi nna nyege nikanyetuka na hizi sabuni.
images (7).jpeg

Ilikua wayback before coronavirus.

Oya kidudu kilichubuka kikawa kinatoa magamba kama nyoka.

Manzi yangu alikuja nilizuga naumwa weekend nzima ilipita sijamgusa.

Nilikua naogopa kwenda hospital wangesema yametoka wapi ningesema nn bishoo mimi?
 
Back
Top Bottom