Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Nimecheka hadi basi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nguvu ya K
 
Hahahahaha sana nimecgeka night kaleee
 
Nyie watu khaaaa! Hahahaha
 
Nilikua na 2000 tu alaf dem wa chuo nlietoka kumtongoza siku km 3 nyuma akaniambia hana vocha, nikasema mmh uyu nikimuonyesha unyonge mapema itakua jau, nikamuungisha bando la 1500 uku m nikabaki nawaza ntakulaje iyo siku.
 
hapo omba ukutane na mwanamke muelewa, vinginevyo anaharibu kabisa saikolojia yako
Hata huyu aliharibu sana. Akaanza kejeli ooh kwenye simu unajifanya mandingo kumbe huna lolote. Kidume nikakauka tu. Halafu jirani kulikuwa na show inapigwa ananiambia sikia wanaume huko.
Niliumia snaa
 
Nadhani haya ni mambo ya ujanani tu mkuu,usicomplicate sana.......japo una point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…