Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Mimi na mshikaji wangu tulikuwa na tabia ya kuopoa totoz za chuo kila weekend tunaenda kula bata.

Siku moja tupo kiwanja, wakajipendekeza marafiki wa mademu zetu na wao walikuwa kiwanja hicho, na walikuwa pisi kali kwelikweli, tukaona ngoja tuweke heshima ili na wao tuwaburuze kimasihara...

Tulitumia sana.. tukachukua usafiri kuwarudisha, muda wa kulipa nauli ndio mshikaji wangu alipoharibu hali ya hewa..

Alijisachi akapata mshituko akasema kwa nguvu MUNGU wangu nimekula hela ya kodi sijui nitamueleza nini yule mzee, wale mademu wakabaki wanashangaa.

Heshima ikawa fedheha
🤣🤣🤣🤣🤣
 
C
Nilifika kwenye bar mojaa kijiweni 2022 mwanzoni

Kufika kutoa salamu kwa jirani zangu hawakuniitikia salamu kutokana na kuonekana mlugaluga tu

Sasa nilienda na bodaboda sikuhiyo

Nikala msosi wa 4,000 kwa kutoa 2000 mfuko wa nyuma na iliobaki mfuko wa mbele


Wadau na warembo wananiangalia marakwa mara nikitabasamu wananicheka kuona sio level zao


Kilichofuata

Kesho yake jumapili nikawakuta wanakunywa kijiwe kile kile


Kwanza kutokana na gari kuwa gerage, fundi alinipa gari nyingine nitumie kama siku tatu,

Kufika bar kwanza kuanzia mbali wanaangalia nani atakaeshuka


Nikashuka kilugaluga kama kawaida

Nikakaa karibu yao ,


NILIPEWA SALAMU NA WAO , wahudumu wakawa wanapishana kwangu ,


ILI KULINDA HESHIMA NISIONEKANE NABAHATISHA NIKATOA OFA KWA WAHUDUMU WANNE BIA 20 , kitimoto kilo 3

na wadau wangu walipokuja nikanunua hia meza za jirani walioonesha dharau


Nilichafua meza zote za karibu pale


Nilinunua bia zaidi ya 70


Nilispend karibu 360,000 wakati ni hela ya fundi na nilikuw na matatizo ya cash wiki hio,nikajitoa ufahamu tu


Baada ya hapo boss wangu akaja nae kuunga mkono juhudi

Bos wangu alimwaga bia na rafiki zake. Bill ikafika 680,000 zaidi


Jumla ya bill tulilipa mil 1.3 plus hadi kunakucha



Baada ya hapo NASHANGAA BAADHI YA WAHUDUMU NA KUNDI LA WANYWAJI WALIOKUW WANADHARAU VIJANA NIKIKUTANA NAO WANANIAMKIA


MTU MNARINGANA UMRI ANAKUAMKIA SERIOUS????????



Dharau ni mbaya sana, zitakuaibisha siku moja, nimekutana na mikasa kedekede na uzuri mimi ni raia wa wakawaida kwahiyo sioni taabu kuchukuliwa poa
Chai
 
Mimi ilikuwa sio kuleta heshima ila ilikuwa sifa.iko hivi nilienda dodoma kwenye harusi ya sista nilikaa meza moja na pisi kali 2 ukafika muda wa kuchangia bibi harusi kulikuwa na phase mbili,phase ya kwanza ilikuwa kikapu kinapita kwenye kila meza yoyote anaweka alichonacho'muda ule nilikuwa nipo tungi balaa kutaka kuonyesha sifa mfukoni nilikuwa na laki 8 nikawa naweka narusha rusha elfu 10 kwenye kapu mpaka laki 8 yote ikaisha.
Baadae wale wadada wakaniambia weee kaka pesa zote umetoa wapi mbona umechangia hela nyingi hivyo!! Nikawaambia kawaida kisha nikawapotezea.
Ikaja phase 2 kwenda kumtunza bibi harusi pale mbele ili kuonesha sifa nikaenda ATM nikatoa mil 1.5 pisi kali moja ikanishauri sana nisiende kuchangia tena pesa nilizotoa awali zinatosha.
Baada ya harusi kuisha asubuhi nikajikuta nipo room yenye muonekano kama hostel kumbe yule sista nilivyozima alinikokota mpaka chuoni kwao alikuwa ni mwanafunzi wa udaktari md5 akanikabidhi pesa yangu 1.5mil alizitunza coz nilikuwa tungi sana..kifupi huyo dada ndio mke wangu hivi sasa..sifa zilinisaidia kupata mke bora aliyekuwa yupo sealed
Chai
 
Nilifika kwenye bar mojaa kijiweni 2022 mwanzoni

Kufika kutoa salamu kwa jirani zangu hawakuniitikia salamu kutokana na kuonekana mlugaluga tu

Sasa nilienda na bodaboda sikuhiyo

Nikala msosi wa 4,000 kwa kutoa 2000 mfuko wa nyuma na iliobaki mfuko wa mbele


Wadau na warembo wananiangalia marakwa mara nikitabasamu wananicheka kuona sio level zao


Kilichofuata

Kesho yake jumapili nikawakuta wanakunywa kijiwe kile kile


Kwanza kutokana na gari kuwa gerage, fundi alinipa gari nyingine nitumie kama siku tatu,

Kufika bar kwanza kuanzia mbali wanaangalia nani atakaeshuka


Nikashuka kilugaluga kama kawaida

Nikakaa karibu yao ,


NILIPEWA SALAMU NA WAO , wahudumu wakawa wanapishana kwangu ,


ILI KULINDA HESHIMA NISIONEKANE NABAHATISHA NIKATOA OFA KWA WAHUDUMU WANNE BIA 20 , kitimoto kilo 3

na wadau wangu walipokuja nikanunua hia meza za jirani walioonesha dharau


Nilichafua meza zote za karibu pale


Nilinunua bia zaidi ya 70


Nilispend karibu 360,000 wakati ni hela ya fundi na nilikuw na matatizo ya cash wiki hio,nikajitoa ufahamu tu


Baada ya hapo boss wangu akaja nae kuunga mkono juhudi

Bos wangu alimwaga bia na rafiki zake. Bill ikafika 680,000 zaidi


Jumla ya bill tulilipa mil 1.3 plus hadi kunakucha



Baada ya hapo NASHANGAA BAADHI YA WAHUDUMU NA KUNDI LA WANYWAJI WALIOKUW WANADHARAU VIJANA NIKIKUTANA NAO WANANIAMKIA


MTU MNARINGANA UMRI ANAKUAMKIA SERIOUS????????



Dharau ni mbaya sana, zitakuaibisha siku moja, nimekutana na mikasa kedekede na uzuri mimi ni raia wa wakawaida kwahiyo sioni taabu kuchukuliwa poa
Mkuu shusha nondo, hizi stories napenda sana
 
Ilikuwa mwaka 2001 nasoma secondary nipo chalii.Nilipata zali nililamba pesa bahati na nasibu ya Coca cola (gurudu la bahati). Kama laki nane hivi..

Basi nilivaaa kikolo Sana siku hiyo. Picha linaanza nachuku tax kutoka Coca cola mikocheni mpaka kkoo. Nazama dukani kwa muarabu nataka kutungua raba mwarabu anajifanya hasikii ananiangalia kwa kuninyali. Nilipata ghadhabu.

Nauliza raba Bei gani ananiangalia huku anasomaa gazeti. Dadeki nilichukuaa pair tano laki mbili cash..
Mwarabu hakuaamini alibaki kudadisi ile pesa ajiridhishe huenda ilikuwa bandia.. Nikaitaa tax driver abebe aweke kwenye buti.... Nikasepa..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .

Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.

Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.

Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
 
2016 nikiwa mtumishi wa taasisi fulani hivi,ilitokea tu nikawa sina smartphone,sasa kijiweni ninaposhinda nikawa nagongea simu,kuingia jf,twitter insta nk,mpaka kubeti.
Siku moja nadhani mwenye simu alifikwa hapa(waswahili wanasema)akaropoka[emoji28][emoji28].
Aisee wewe ni mtumishi smart imekushindaje bana??daily unagongea simu yangu inachemka[emoji28],aisee wengine njia ya kupokea taarifa mbaya za ghafla huwa tuna tabasamu.
Kinyoonge asishtuke kama nimekwazika,nikamwambia tulia namalizia ishu moja,nakupa.
Kesho yake ilibidi nivunje kibubu kwa hasira kwa mara ya kwanza nikaenda kujitwisha iphone ya kwanza kutoka shop(iphone 6plus) ikiwa bado inafuka moshi kipindi hicho 1.6mln.asubuhi nafika pale anashangaa nina simu yenye bei mara 5 ya kwake,akatoa macho tu na kuanza kujaribisha camera.

Binaadam wanatia hasira lakini tunawashukuru maana wamefanya wakati mwingine kwa kauli zao,tuondoke kwenye comfort zone zinazotulemaza.

Mi simpag mtu simu yangu yeyote yule ungenuna
 
I have made a covenant with myself, never to spend money on impulse, just to prove a point to any human being. It's just absurd, crude, diabolical and bad economics....

What's there to prove, wakati najua mfuko u hali gani!!! Binafsi nafahamu even if you have all the money in the world, there will be some fools lurking somewhere ready to smack faeces on your good image.

Heri unione bahili, mchoyo au sina pesa, lakini binafsi nafurahia maisha yangu kinoma. Kuna umri ukifika baadhi ya mambo hayakuumizi sana kichwa....
Thread inaseme jeuri ya pesa hata kama huna. Hadithia yako. Sio unaleta kingeleza hapa, hajasema mjilete ambao hamuwezi.
Mimi natamani kuandika ila story zangu nyingi, kampani yangu yite ina story ya kujilipua hivi. Umjinimjini mwingi. Si tulia ndugu, wenzako tupo pamoja na hii thread.
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Haaaaahaa hongera sana, hiyo ni kawaida kwa wanaume. Big up sana, ulilinda heshima
 
Back
Top Bottom