Asallee miaka hyo ndo kwanzaa nmepata kazi ofisi ya wazungu inayosimamiwa na ngozi nyeusi kavu zaidi ya goti.
Kamshahara ka kienyeji lakini sishindwi kununua kadeti. Bwan bwana, nmeingia mkoa mapumziko mafupi ya kusalimia wazee, si nkapata pisi ya chuo. Manka flani rangi ya mtume kingledha kingi, punde si punde ni birthday yake. MSela wangu akaniambia haitakua poa usipotimba, bora twende tukatie baraka. Mwamba bila hiyana, gari la kuazima, nkatia na wese haooo na mwanangu kwenda kuchukua watoto twende tukaenjoy maskukuuu.
Picha linaanza nmefka hostel kwao najua wanatoka wawili (yaan pisi yangu na ya msela), ghafla zkatoka toto 6 jumla na zimetupia mapaja njenje kama matikiti kipindi cha msimu. Maini yakacheza tumboni, nkasema ya nini kuaibika wakat ndo kwaanza nasororea hata sijamkaza? Nkawaambia panda twende, pesa iko.
Kaa ukijua manka anaamini mimi n mfanyakazi Nairobi huko kwaio nko mboga hatari. In short shangwe lilikua jingi sana, hela natoa tu maana nshaubeba msalaba kama hamonenga. Mpka saa tisa kamili nshachoma kama laki 4 na nmeambulia mabusu mengi. Kuna mda nlishusha bucket za bia ile nataka kufungua naskia kijastibikozi mmoja anasema "subiri tupige snapu". Nkamwambia snapu ya nyoko? Bia nilipie na nizingoje? Mi nkaanza kugida. Nliona bora nifidie tu hela yangu.
Kumi na moja asubuh nkiwa nmechoka sana, nkamwambia, oi, chukua fego hapo maana nna umeme, yule manzi hakuona soo kuniambia, "si imebaki hyo kaki hapo mfukoni, leta tuichukulie fegi". Siku ikaisha nkarudi na stressi. Huo mwezi kazininwatu waliteseka sana maana ilikua kichaa kapewa rungu. All in all baadae nlikuja kukula sana ile pisi. Hela yangu nilifidia yoooote kwakweli.
Mwandiko si jeuri yangu! Wahed!