Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Asallee miaka hyo ndo kwanzaa nmepata kazi ofisi ya wazungu inayosimamiwa na ngozi nyeusi kavu zaidi ya goti.

Kamshahara ka kienyeji lakini sishindwi kununua kadeti. Bwan bwana, nmeingia mkoa mapumziko mafupi ya kusalimia wazee, si nkapata pisi ya chuo. Manka flani rangi ya mtume kingledha kingi, punde si punde ni birthday yake. MSela wangu akaniambia haitakua poa usipotimba, bora twende tukatie baraka. Mwamba bila hiyana, gari la kuazima, nkatia na wese haooo na mwanangu kwenda kuchukua watoto twende tukaenjoy maskukuuu.

Picha linaanza nmefka hostel kwao najua wanatoka wawili (yaan pisi yangu na ya msela), ghafla zkatoka toto 6 jumla na zimetupia mapaja njenje kama matikiti kipindi cha msimu. Maini yakacheza tumboni, nkasema ya nini kuaibika wakat ndo kwaanza nasororea hata sijamkaza? Nkawaambia panda twende, pesa iko.

Kaa ukijua manka anaamini mimi n mfanyakazi Nairobi huko kwaio nko mboga hatari. In short shangwe lilikua jingi sana, hela natoa tu maana nshaubeba msalaba kama hamonenga. Mpka saa tisa kamili nshachoma kama laki 4 na nmeambulia mabusu mengi. Kuna mda nlishusha bucket za bia ile nataka kufungua naskia kijastibikozi mmoja anasema "subiri tupige snapu". Nkamwambia snapu ya nyoko? Bia nilipie na nizingoje? Mi nkaanza kugida. Nliona bora nifidie tu hela yangu.

Kumi na moja asubuh nkiwa nmechoka sana, nkamwambia, oi, chukua fego hapo maana nna umeme, yule manzi hakuona soo kuniambia, "si imebaki hyo kaki hapo mfukoni, leta tuichukulie fegi". Siku ikaisha nkarudi na stressi. Huo mwezi kazininwatu waliteseka sana maana ilikua kichaa kapewa rungu. All in all baadae nlikuja kukula sana ile pisi. Hela yangu nilifidia yoooote kwakweli.

Mwandiko si jeuri yangu! Wahed!
Haaaaahaa
 
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .

Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.

Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.

Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
Nimecheka balaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
2016 nikiwa mtumishi wa taasisi fulani hivi,ilitokea tu nikawa sina smartphone,sasa kijiweni ninaposhinda nikawa nagongea simu,kuingia jf,twitter insta nk,mpaka kubeti.
Siku moja nadhani mwenye simu alifikwa hapa(waswahili wanasema)akaropoka[emoji28][emoji28].
Aisee wewe ni mtumishi smart imekushindaje bana??daily unagongea simu yangu inachemka[emoji28],aisee wengine njia ya kupokea taarifa mbaya za ghafla huwa tuna tabasamu.
Kinyoonge asishtuke kama nimekwazika,nikamwambia tulia namalizia ishu moja,nakupa.
Kesho yake ilibidi nivunje kibubu kwa hasira kwa mara ya kwanza nikaenda kujitwisha iphone ya kwanza kutoka shop(iphone 6plus) ikiwa bado inafuka moshi kipindi hicho 1.6mln.asubuhi nafika pale anashangaa nina simu yenye bei mara 5 ya kwake,akatoa macho tu na kuanza kujaribisha camera.

Binaadam wanatia hasira lakini tunawashukuru maana wamefanya wakati mwingine kwa kauli zao,tuondoke kwenye comfort zone zinazotulemaza.
Nimecheka🤣 yalimfika hapaa (huku umeshika koo)
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Muhimu kulinda heshima[emoji23]
 
Nimewahi kuchoma laki nane kwa sifa za kijinga sana Mwaka juzi, roho iliniuma sana sana.. yaani iliniuma kiasi kwamba kesho yake nikaamua kutoa hela zingine nisafiri tu kuupoza moyo.
Ilikuwaje mkuu
 
Niko na toto la Nai tunapigiana simu tu tukaahidiana tu meet easter holiday, zile skukuu zinaongozana siku kama nne hvi, sasa nikakata zangu ticket presisheni ya go pekeake ilikua kama laki saba hivi, kurudi nitarudi zangu na tahmeed sio kesi,

Basi siku ya safari imefika naenda zangu airport kwa mbwembwe huku na ma whasap video kalling na mchuchu, naye alikua ndio yuko saluni anatengeneza nywele a bling bling aje kunipokea Jomo kenyata ashawapanga na mabeshte zake,

ile kufika airport tu mda wa check inn ulishapita na milango ishafungwa, mzee baba full kupanik omba sana wakaniambia ni amend ticket nipande ndege nyingine, nikamweleza mchuchu akaniambia nisimuongeleshe ye anachojua mi nafika leo yaani alishajikoki, Mzee nikatoka kwa nje pale mpaka kaunta ya presesheni na mkuta mdada, akaangalia akaniambia ndege ipo ya saa moja ila nafasi ilikuepo ni bizness klass!
Dooh nikacheki na mchumchu akaniambia yaani nisimuongeleshe kitu chochote na atashika simu tu nikiwa kwa ndege,

Mzee baba nikamuuliza niongeze ngapi dada mhudumu akajibu laki saba Halahaulaaaa!
Kulinda heshima nikaenda palekuna magari magari ya atm nikatoa akiba yangu nilioweka inilinde nikirudi nikavurua nikakata, ikabidi niisubirie palepale imagin toka saa tisa hadi saa kumi nambili!
Aisee duuu 🤣😅😅
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Naomba kusema huu Uzi ni chai, chai yenyewe inakuja kwamba, stendi ya bweri pale Musoma hadi hoteli za sifa unazozitaja pale Musoma mjini huo umbali sio wa kulipa elfu moja bodaboda.

Nawasilisha..
 
Naomba kusema huu Uzi ni chai, chai yenyewe inakuja kwamba, stendi ya bweri pale Musoma hadi hoteli za sifa unazozitaja pale Musoma mjini huo umbali sio wa kulipa elfu moja bodaboda.

Nawasilisha..
Kunywa hivyo hivyo mkuu. Maswala ya stend sio main subject hapa. Ila sikushukia stend kuu. Basi lilishusha vituo zaidi ya vitatu, nilishukia mjini sikumbuki hata panaitwaje
 
Thread inaseme jeuri ya pesa hata kama huna. Hadithia yako. Sio unaleta kingeleza hapa, hajasema mjilete ambao hamuwezi.
Mimi natamani kuandika ila story zangu nyingi, kampani yangu yite ina story ya kujilipua hivi. Umjinimjini mwingi. Si tulia ndugu, wenzako tupo pamoja na hii thread.
Usinipangie cha kuandika.....
 
Uzi utnzwe huu

Enzi nipo chuo Kuna pisi nilikuwa nafahamiana nayo kiaina so nimetoka kipindi nakutana nayo Iko na rafiki zake .......kama kawaida mabaharia hatupendi kuwa underrated

Nikaiuliza vipi mama umekula .....ikajibu hapana labda unitoe offer [emoji16][emoji16]

Nikacheka then nikaiambia usijali mama hivi ni vitu vidg

Kuingiza mkono mfuko wa nyuma na kuanza kuchomoa pesa ...... kumbuka pesa zpo kama 30k but nataka nichomoe 10k tu


Ghafla kikatoka kipande Cha ten (ilichanika mfukoni) .......Daah manzi zilinicheka.....ikabidi nitoe zote Kwa aibu plus huzuni
 
Uzi utnzwe huu

Enzi nipo chuo Kuna pisi nilikuwa nafahamiana nayo kiaina so nimetoka kipindi nakutana nayo Iko na rafiki zake .......kama kawaida mabaharia hatupendi kuwa underrated

Nikaiuliza vipi mama umekula .....ikajibu hapana labda unitoe offer [emoji16][emoji16]

Nikacheka then nikaiambia usijali mama hivi ni vitu vidg

Kuingiza mkono mfuko wa nyuma na kuanza kuchomoa pesa ...... kumbuka pesa zpo kama 30k but nataka nichomoe 10k tu


Ghafla kikatoka kipande Cha ten (ilichanika mfukoni) .......Daah manzi zilinicheka.....ikabidi nitoe zote Kwa aibu
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Ulivyompa 5k receptionist alisemaje
 
Back
Top Bottom