Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee sio poaa...!!
 
Kaka uongo sio kitu kizuri
 
Hapo usikute ulienda kusambaza kinywaji chenu cha Mo xtra, au kutafuta wateja wa zile pikipiki zenu za boxer! Nahisi ulirudi mjini ukiwa huna hata 100!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…