Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Nakumbuka mwaka 2014 binamu yangu anatoka school yupo kituoni anasubiria gari apande na mfukoni ana nauli tu ya kufika nyumbani


Anatokea mwanafunzi wa kike anamuomba amsaidie nauli apande daladala

Bila hiyana anampa nauli demu na yeye anatembea kwa mguu, hadi home

Nikajisemea hizi sifa nyingine na kulinda heshima ili usionekane mnyonge ni za kipuuzi
 
Mimi na mshikaji wangu tulikuwa na tabia ya kuopoa totoz za chuo kila weekend tunaenda kula bata.

Siku moja tupo kiwanja, wakajipendekeza marafiki wa mademu zetu na wao walikuwa kiwanja hicho, na walikuwa pisi kali kwelikweli, tukaona ngoja tuweke heshima ili na wao tuwaburuze kimasihara...

Tulitumia sana.. tukachukua usafiri kuwarudisha, muda wa kulipa nauli ndio mshikaji wangu alipoharibu hali ya hewa..

Alijisachi akapata mshituko akasema kwa nguvu MUNGU wangu nimekula hela ya kodi sijui nitamueleza nini yule mzee, wale mademu wakabaki wanashangaa.

Heshima ikawa fedheha
[emoji23][emoji23][emoji23]

Dah! Mshikaji supu kaitia nazi
 
Ukiwa na uwezo wa kusema Hapana, maisha hayatakuwa magumu kamwe.

Sio lazima ujilazimishe uonekane tajiri wakati huna uwezo, utaishia kuaibika mwenyewe rohoni.

Kama kitu sina uwezo nako, naondoka kimya kimya mambo yasiwe mengi.

Hakuna haja ya kujionesha kwa watu nina uwezo ilihali sina. Na mbaya zaidi watu wenyewe siwafahamu na sitakaa nionane nao milele.
Amini kwamba [emoji119]

Yani ni temporary events tu, yanini yote hayo
 
Dharau zina umiza ila mimi kutokana na jinsi navyo jikubari ninge mwambia boda tungeuze maana na jua baada ya hapo pesa inauma kuliko hata dharau ANGALIZO usi kabiliane na maumivu kwa kutengeneza mazingira ya kuumia baadae
 
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .

Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.

Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.

Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko 😬😬😬
😂😂😂 mimi ningekufa, yani tako tatu wazungu shwaa alafu inajirudia
 
Ilikuwa mwaka 2001 nasoma secondary nipo chalii.Nilipata zali nililamba pesa bahati na nasibu ya Coca cola (gurudu la bahati). Kama laki nane hivi..

Basi nilivaaa kikolo Sana siku hiyo. Picha linaanza nachuku tax kutoka Coca cola mikocheni mpaka kkoo. Nazama dukani kwa muarabu nataka kutungua raba mwarabu anajifanya hasikii ananiangalia kwa kuninyali. Nilipata ghadhabu.

Nauliza raba Bei gani ananiangalia huku anasomaa gazeti. Dadeki nilichukuaa pair tano laki mbili cash..
Mwarabu hakuaamini alibaki kudadisi ile pesa ajiridhishe huenda ilikuwa bandia.. Nikaitaa tax driver abebe aweke kwenye buti.... Nikasepa..
Nakumbukaga zile za kwenye vizibo enzi za mkapa maana kikwete ni soda tu na laki wanatoa basi ikaishiliaga hmsini nilikuwa mdogo primary .
Unafungua soda za bonite unasoma kizibo nilipataga laki na udogo wangu tukabiwa tuende ofisini kupokea hela za ushindi
 
Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.

Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.

Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofa kadhaa. Nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.

Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchafu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.

Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hapa chumba ni kuanzia elfu 50!

Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.

Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.

Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.

Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri nimepenta, lakini mwambie boda naomba namba yake.

Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.

Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.

Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!

Safii mkuu si jambo baya. Ila samaki wa hapo uliwaonaje mkuu ?
 
Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.

Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.

Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.
Hahahaaaa nikajua ni peke angu kuona dharau inaumiza
 
Ilinitokea miaka hiyo nikiwa sekondari, siku moja asubuhi(mimi na ndugu yangu) tumetoka kwa sista. Sista alikua na safari ya nairobi kwahiyo ikatulazimu turudi nyumbani mkoani kwakua alihofia kutuacha wenyewe. Tukapewa nauli na baada ya kuona hela tukaona hatuna muda wa kupoteza tukaaga mbio mbio hata chakula hatukula tuliona kitatuchelewesha.

Tukafika town tukashauriana tuingie mahali tuchambe koo na juice plus kuku kidogo then tuamshe. Tulifika na kupokelewa na pisi moja ya kimbulu kali sana(huu ndio ugonjwa wa huyu ndugu yangu mpaka kesho alafu ni mbishi akitaka jambo lake lazima liwe). Nikamnong'oneza ndugu yangu hapa bei zao sio size yetu tumevamia kambi tutafute sehemu nyingine, mwamba akagoma akasema pesa si ipo leta vitu. Nikaagiza juice, inakuja juice naona na misahani shazi, nikauliza kiuwoga nikajibiwa huwa wanauza special package(hapa tulipigwa plus ushamba). Tukaulizwa turudishe au mtakula? Ndugu yangu akaropoka tutakula mbona ni jambo dogo sana, basi tukala tukamaliza bili inakuja hatukubaki hata na nauli, tulivyotoka hapo nilikua kama bubu kimya tulitembea hadi kwa dada tulivyofika tukamwambia asijali sisi tutabaki tu hamna shida, alituelewa 😂😂 sitosahau hiyo siku niligongwa na mvua sana.
 
Hii bwana ni Kwa hisani ya wife.

Wife hakupenda dharau toka Kwa mdada mwenzake,ilikuwa 2017 nilikuwa nimepanga kwenda shopping na wife akasema ananisindikiza na kuhakikisha napata viwalo vyeshi,na kama nilijua nilimpa hela akae nazo yeye Mimi kazi yangu ni kujaribu na kuchukua,ilikuwa bajeti kama 300,000.

Sasa wakati tunatoka Duka moja na kuingia lingine,yeye akawahi kutangulia Duka lingine kabla yangu,sasa kwakuwa alikuwa amevaa hijabu basi Yule sista duu WA shop akamchukulia poa kumbe hujui wife alikuwa duu hasa enzi zake Ila nilimbadilisha na kuwa mwanamke anayejistiri.

Wife akaniambia kuna mdada anamchukulia poa ngoja amuonyeshe Ila binafsi sikubariki wazo la wife lkn nikasema ngoja niwazoom nione itakuwaje,pale pamba ilikuwa bei kuanzia 15,000 mpaka 20,000.

Nikachagua kama pamba 4 ambazo nilizipenda wife akasema ongeza moja tulipe 100,000 chap basi kwakuwa nilijua wife anataka point tatu muhimu nikaona nisimwangushe,kweli ikapatikana ya tano wife akatoa 100,000 chap,mpaka hapo wife aliondoa dharau za Yule sista duu

Ni hayo Tu!
Huyo mkeo ni Kama mie tu,na haya majuba watu wanatuonaga washamba,nawakomeshaga hatari,utasikia tu upo vizuri.
 
Nakumbuka mwaka 2014 binamu yangu anatoka school yupo kituoni anasubiria gari apande na mfukoni ana nauli tu ya kufika nyumbani


Anatokea mwanafunzi wa kike anamuomba amsaidie nauli apande daladala

Bila hiyana anampa nauli demu na yeye anatembea kwa mguu, hadi home

Nikajisemea hizi sifa nyingine na kulinda heshima ili usionekane mnyonge ni za kipuuzi
Kwakweli
 
Back
Top Bottom