mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Mie nimejiwekea ka utaratibu kakuuliza bei Kwanza sikurupuki aisee,
Nilijichanganyaga siku moja nilikuwa na wenge,
Nilikuwaga Safari nikanunua korosho nilitoa buku ten,akanirudishia buku moja,nikatulia Kwanza nikajua kafuata chenji,. Nikatulia kwenye benchi nikaona kimya hatokei,nikamfuata nikamuuliza hizi ni buku Tisa?? Akasema ndio
Nikamwambia hatukuelewena nahitaji za buku,hahahaha nashukuru alinielewa akanirudishia pesa yangu,
Japo niliumia pia hizo za buku hata kumi hazikufika,
Nilijichanganyaga siku moja nilikuwa na wenge,
Nilikuwaga Safari nikanunua korosho nilitoa buku ten,akanirudishia buku moja,nikatulia Kwanza nikajua kafuata chenji,. Nikatulia kwenye benchi nikaona kimya hatokei,nikamfuata nikamuuliza hizi ni buku Tisa?? Akasema ndio
Nikamwambia hatukuelewena nahitaji za buku,hahahaha nashukuru alinielewa akanirudishia pesa yangu,
Japo niliumia pia hizo za buku hata kumi hazikufika,