Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kenny Rogers, huwa nawaachia tip wale walionihudumia vizuri.
 
Shida much know saaanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, yaani ukiona hujawahi basi siku utawahi, na ikitokea hufanyi basi tu umekufa mapema.
Maana kujiona ipo katika maisha yetu ya kila siku. Iwe shuleni, msibani hata kwenye sherehe.

ana
Sawa...
 
Hii bwana ni Kwa hisani ya wife.

Wife hakupenda dharau toka Kwa mdada mwenzake,ilikuwa 2017 nilikuwa nimepanga kwenda shopping na wife akasema ananisindikiza na kuhakikisha napata viwalo freshi,na kama nilijua nilimpa hela akae nazo yeye Mimi kazi yangu ni kujaribu na kuchukua,ilikuwa bajeti kama 300,000.

Sasa wakati tunatoka Duka moja na kuingia lingine,yeye akawahi kutangulia Duka lingine kabla yangu,sasa kwakuwa alikuwa amevaa hijabu basi Yule sista duu WA shop akamchukulia poa kumbe hajui wife alikuwa duu hasa enzi zake Ila nilimbadilisha na kuwa mwanamke anayejistiri.

Wife akaniambia kuna mdada anamchukulia poa ngoja amuonyeshe Ila binafsi sikubariki wazo la wife lkn nikasema ngoja niwazoom nione itakuwaje,pale pamba ilikuwa bei kuanzia 15,000 mpaka 20,000.

Nikachagua kama pamba 4 ambazo nilizipenda wife akasema ongeza moja tulipe 100,000 chap basi kwakuwa nilijua wife anataka point tatu muhimu nikaona nisimwangushe,kweli ikapatikana ya tano wife akatoa 100,000 chap,mpaka hapo wife aliondoa dharau za Yule sista duu

Ni hayo Tu!
 
At least breakfast ya maana ulikuwa unafidia maumivu pia ukiwa lodge hiyo nahisi ni grand hotel jina lake ,ukipeleka pisi ukaiambia huna hela tukutane gorofani pub baadaye inakuelewa!.
Ndiyo hiyo Grand Victoria. Nilipata pisi ile night club ya kaghorofa pale junction. Ila nashukuru Mungu ilinitanguliza halafu haikutokea
 
Daah dharau mwenzie jeurii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Anko ni fala sana,ujute nae aliweka heshima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechagua kucheka 🀣🀣🀣 utanisamehe kwakwel..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…