Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Amakweli tutafute hela vidume diamond d yatapita
 
Mwee sisi wengine hatuna hata hizo pesa za kuonesha jeuri na hata ningekuwa nazo ya nini kuingia gharama ambayo unajua itakuuma kisa kuweka heshima tu
watoto wakike nyie hamjui uchungu sana wa kudharaulika.

Ujue wanaume tuna kale kahali cha kutaka umwamba wa asili.
 
We ni chizi aseee gaaahaa
 
gily nadhani umehadithiwa kama kweli ni wewe umetuangusha watu wa kaskazini.
 
1.3m looh hapo nanunua malaya 13 wa 100,000 each
 
Mimi ilikuwa sio kuleta heshima ila ilikuwa sifa.iko hivi nilienda dodoma kwenye harusi ya sista nilikaa meza moja na pisi kali 2 ukafika muda wa kuchangia bibi harusi kulikuwa na phase mbili,phase ya kwanza ilikuwa kikapu kinapita kwenye kila meza yoyote anaweka alichonacho'muda ule nilikuwa nipo tungi balaa kutaka kuonyesha sifa mfukoni nilikuwa na laki 8 nikawa naweka narusha rusha elfu 10 kwenye kapu mpaka laki 8 yote ikaisha.
Baadae wale wadada wakaniambia weee kaka pesa zote umetoa wapi mbona umechangia hela nyingi hivyo!! Nikawaambia kawaida kisha nikawapotezea.
Ikaja phase 2 kwenda kumtunza bibi harusi pale mbele ili kuonesha sifa nikaenda ATM nikatoa mil 1.5 pisi kali moja ikanishauri sana nisiende kuchangia tena pesa nilizotoa awali zinatosha.
Baada ya harusi kuisha asubuhi nikajikuta nipo room yenye muonekano kama hostel kumbe yule sista nilivyozima alinikokota mpaka chuoni kwao alikuwa ni mwanafunzi wa udaktari md5 akanikabidhi pesa yangu 1.5mil alizitunza coz nilikuwa tungi sana..kifupi huyo dada ndio mke wangu hivi sasa..sifa zilinisaidia kupata mke bora aliyekuwa yupo sealed
 
Ya Mungu ni mengi itoshe kusema hivyo
 
Ni nzuri Sana Ila usiige kbsa Kama Huna kitu Huna tu mkuu okwa.....

Kosa la kiafrica Ni kujifanya unazo kumbe huna kitu mwenye nayo Hana alama uzoni acha kushindana na wapumbafu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
wewe mjinga sana nyota ya ukuu ikuangazie daima maisha yako yote na uishi maisha marefu
 
yaani kuna pisi kila nkikutana nayo nahisi nna bahati mbaya, huwa tunakutana nikiwa naendesha pikipiki (hii ni kitokana na nature ya kazi yangu)
sasa ubaya anaringa ananiona kama sio hadhi yake na kuniona kama bodaboda
huu uzi ntakuja kuureply kwa hasira pale ntakapomaliza hasira zangu zote siku atakayojichanganya kunijua.​
 
sijawahi kuimpress mtu huwaga naangalia yangu hata kama mtu aatniona masikini au kunudharau as long as mahesabu yangu niliyoyaweka yanakwenda kama ninavotaka IDGAF ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…