[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] azoe mwenye mjengoKwakuwa ni kwa ndugu yako ulitaka uwe unajifungulia tu friji unakula unachotaka sio?
Hutaki kuzoa mavi ya mbwa unataka azoe Nani?
Ukienda kuishi kwa kaka yako na wewe huko utakuwa ndugu wa mume, je uje kujadiliwa hapa kuwa ndugu wa mume ni mbaya au wewe utakuwa ndugu wa mume mwema?Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Kwamba ilibidi wageni waumwe wote hahaaaaasKuna yule jamaa alisimuliaga kuwa baba yake aliwapeleka wageni kulala wodi ya hospital [emoji23][emoji23][emoji23][emoji13]
Sawa ila usitoke hapo angalia njia ya kumtoa yeyeSijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Duu ya jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule jamaa alisimuliaga kuwa baba yake aliwapeleka wageni kulala wodi ya hospital [emoji23][emoji23][emoji23][emoji13]
Duu ndoa yake imemshinda anataka kuvuruga na yakaka yake, itoshe mtu kaachika arudi kwa Baba yake sio kwa ndugu, kam wazazi hawapo lakini nyumba ipo aishi hapo sio kusumbua ndoa za watu.Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Watu hawakatai ndugu, sema ndugu ukifika nyumba ambayo inawenyewe na serikali yao tulia na fuata ratiba zao walizojiwekea sio eti kwa kaka unaanza kujifanya mjuaji wakati yeye mwenyewe ndoa imemshindaI bet kuna mambo hamuendi sawa!
Wewe ni mke sawa hata yeye ni ndugu wa mumeo na ana haki kwa ndugu yake vilevile ila tu mipaka isivuke!
Swala la chakula ifike muda liwe kawaida tu kwenu wanawake... hiyo ni rizq tu, mwisho wake ni kwenda chooni na kupata nguvu maisha yaendelee. Msichukiane au kuchukia watoto wa wenzenu kisa chakula.
Wanawake hamkaagi pamoja mkapendana na kuelewana. Binafsi najua umeanza kufikiria kama kaja hapo kukutawala au kukunyima raha HAPANA!
Arudi kwake asikukaushe koo, ndugu yake umejaribu kumshirikisha? Ila utaambiwa mbaya maana mawifi nao tunajijua wenyewe.Sijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Duu jamani hatari! Usimwite bwege[emoji23][emoji23][emoji23] kakutunzia mwanao mliyemkimbiana na mama yake mshukuru tuKamsakizia bwege flani wakalea vizuri tu.
Mtoto ninaye sasa anakaribia 30[emoji16]
Cc Mpwayungu village[emoji16][emoji16][emoji16]Why mwalimu? Why nurse?
Roho mbaya tu, wanawakeDuh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Kwa hiyo profile lazima akusingizieAlinisingizia natoka na mumewe
Jamaniii maisha haya....tangu hapo sitaki kukaa kwa mtu
daah sikuelewaa mwanzooo 😀 😀 😀Siku nshaondoka naanza life nikatoka kizungu kwa binamu.
Oven taka zote nnazo.
Dah siku wamekuja kusalimia kuna binti kalala mle ndani ana mimba.
Ikawa anhaa weh hivi tumekupa umeleta jeuri umekuja ukaoa.
Wakabeba tena vyoote🤣🤣🤣.
Wakatimua navyo.
Demu nae anasema kumbe vitu sio vyako?
Katimua,
Nikaona afadhali sasa niko huru🙌
Ni uchoyo tu wa mtu hasa wanawake. Katika vitu ambayo sina uchoyo navyo ni vyakulaWANAWAKE NI MASHETANI! tusisingizie udini... nyumba yoyote ugomvi huletwa na Chakula 😔
Mkuu waswahili wanasema mtembezi ula miguu yake.Nachelewa kufika usiku, baada ya kupakuwa mboga zao, wanaacha ya kwangu kwemye sufuria na kuongeza maji kidogo.
Punguza baje kwenye manunuzi ya chakula na msiache pesaSijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Kwani huyo wifi yako yeye hana kwao kwa wazazi wake?Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Mahusiano yenu yapoje kwa sasa mnawasioiana?Hahahaaaa haya maisha yasikie Tu Kwa watu Mimi nilikaa Kwa uncle Kama wewe Ila nilitimiliwa usiku wa Saa sabaa tukiwa tunaishi mabibo kwenye Kota za jeshi chanzo nilipata mishe super market ya kuwa auditor wao wa muda duh shangazi yangu alilipuka Kwa kusema mbona hujasema kuwa unafukuzia KAZI kwendraaa niliumia Sana Kwa kuwa sikuwa na mshahara hata mmoja but now days mwamba alitumbuliwa pale MSD na magu yupo Kama muokota makopo
ni mahovyo mahovyo kwa kwenda mbele[emoji2][emoji3]Ndugu wa mume lazima mule jalamba kama mpo JKT.
Wanaokula bata ni ndugu wa mke, chagua kwenda kwa dada,shangazi au mama wadogo/wakubwa