Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Ukienda kuishi kwa kaka yako na wewe huko utakuwa ndugu wa mume, je uje kujadiliwa hapa kuwa ndugu wa mume ni mbaya au wewe utakuwa ndugu wa mume mwema?
 
Sijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Sawa ila usitoke hapo angalia njia ya kumtoa yeye
 
Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Duu ndoa yake imemshinda anataka kuvuruga na yakaka yake, itoshe mtu kaachika arudi kwa Baba yake sio kwa ndugu, kam wazazi hawapo lakini nyumba ipo aishi hapo sio kusumbua ndoa za watu.
 
I bet kuna mambo hamuendi sawa!

Wewe ni mke sawa hata yeye ni ndugu wa mumeo na ana haki kwa ndugu yake vilevile ila tu mipaka isivuke!

Swala la chakula ifike muda liwe kawaida tu kwenu wanawake... hiyo ni rizq tu, mwisho wake ni kwenda chooni na kupata nguvu maisha yaendelee. Msichukiane au kuchukia watoto wa wenzenu kisa chakula.

Wanawake hamkaagi pamoja mkapendana na kuelewana. Binafsi najua umeanza kufikiria kama kaja hapo kukutawala au kukunyima raha HAPANA!
Watu hawakatai ndugu, sema ndugu ukifika nyumba ambayo inawenyewe na serikali yao tulia na fuata ratiba zao walizojiwekea sio eti kwa kaka unaanza kujifanya mjuaji wakati yeye mwenyewe ndoa imemshinda
 
Sijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Arudi kwake asikukaushe koo, ndugu yake umejaribu kumshirikisha? Ila utaambiwa mbaya maana mawifi nao tunajijua wenyewe.
 
Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Roho mbaya tu, wanawake
 
Siku nshaondoka naanza life nikatoka kizungu kwa binamu.
Oven taka zote nnazo.
Dah siku wamekuja kusalimia kuna binti kalala mle ndani ana mimba.
Ikawa anhaa weh hivi tumekupa umeleta jeuri umekuja ukaoa.
Wakabeba tena vyoote🤣🤣🤣.
Wakatimua navyo.
Demu nae anasema kumbe vitu sio vyako?
Katimua,
Nikaona afadhali sasa niko huru🙌
daah sikuelewaa mwanzooo 😀 😀 😀
 
WANAWAKE NI MASHETANI! tusisingizie udini... nyumba yoyote ugomvi huletwa na Chakula 😔
Ni uchoyo tu wa mtu hasa wanawake. Katika vitu ambayo sina uchoyo navyo ni vyakula
Naishi na ndugu zangu wa 5 ( watoto wa dada 3 ,wa kaka 1 na mjukui wa dada 1) . Huwa nanunua kila kitu ,kama siku hiyo hamna mboga naacha 10k. Huwa sipangii mtu muda wa kula, chakula kikipikwa kila mtu ana uhuru wa kula muda anaotaka. Na kwa muda wote huo tunaishi kwa furaha kabisa. Nilishawahi ishi na jamaa wa rafiki kwangu na sikuwahi kupangia mtu kazi etc. Utajiongeza mwenyewe ukiwa kwangu. Kwa uhuru ninaowapa, ukifika home kila kitu kipo safi. TV hata wakeshe wanaangalia watajijua wenyewe na usingizi wao. Sitaki stress ambazo hazina mashiko.
 
Sijui kama umenielewa, huyu wifi yangu katoka kwa mume wake kaja hapa kwa kaka yake kuishi.ishu inayokuja kwa mfano hapa kwangu nina ratiba ya chakula asubuhi mchana na jioni,asa utakuta ratiba yangu jioni ni kupika hiki yeye atapika kile,hafu maagizo yote hela huwa namuachia binti wa kazi lakini ukirudi ulicho tegemea kukuta sicho kuuliza ooh aunt kasema tupike hiki. Kwahiyo ni kama anataka niishi apendavyo yeye.na sio kama hivyo vingine yeye hatumii hapana anatumia ila fujo tu.hapo bado atapika sufuria kubwa la chakula kesho unakikuta kwenye dustbin.haya asubuhi ataamka atapika chai ya rangi hapa kwangu kuna bili ya maziwa bado atapika na uji[emoji849] sio kama anamtoto wala hanyonyeshi siku mbili kilo ya sukari kwisha. hapo sijazungumzia mafuta,huwa nanunua viazi kwaajili ya chai lakini yeye kila siku asubuhi atapika chips anywe na chai,asa nakuta mafuta hayakai vile nlivyokusudia kumuuliza dada mnatumiaje mafuta aunt anapika chips kila mara asubuhi.na sio mjamzito .sawa kwake alikuwa yeye pekeyake na mume wake huenda alikuwa anaishi hivyo lakini mimi ninafamilia na sio kama tumetusua maisha jamani mimi na mume wangu wote ni wahanga wa ajira tuko mtaani tunaunga unga tu na tumepanga bado kwanini haelewi? Kila pesa tunayoipata tunaipangilia sana
Punguza baje kwenye manunuzi ya chakula na msiache pesa
 
Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Kwani huyo wifi yako yeye hana kwao kwa wazazi wake?
 
Hahahaaaa haya maisha yasikie Tu Kwa watu Mimi nilikaa Kwa uncle Kama wewe Ila nilitimiliwa usiku wa Saa sabaa tukiwa tunaishi mabibo kwenye Kota za jeshi chanzo nilipata mishe super market ya kuwa auditor wao wa muda duh shangazi yangu alilipuka Kwa kusema mbona hujasema kuwa unafukuzia KAZI kwendraaa niliumia Sana Kwa kuwa sikuwa na mshahara hata mmoja but now days mwamba alitumbuliwa pale MSD na magu yupo Kama muokota makopo
Mahusiano yenu yapoje kwa sasa mnawasioiana?
 
Kwakweli mm milipata shida sana utotoni kutokana na kitolelewa na mama mzazi kwa kipindi kirefu,shida za kunyimwa chakula nimezipitia sana tu ndo maana nimekuwa makini sana nyumbani kwangu kuhakikisha hakuna manung'uniko ya chakula,naogopa sana kusikia mtu anakaa kwangu halafu hali vzr si dada wa kazi wala ndugu,na mke wangu namwambia kila siku ukitaka tugombane basi nisikie malalamiko kuhusu chakula haijalishi nani analalamika,manung'uniko yanaondoa baraka ndani ya nyumba!
 
Back
Top Bottom