ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Alitupa homework mimi sikufanya. Na ndio katika darasa Zima mimi sikuifanya hiyo homework peke yangu. Nafika asubuhi anakagua madaftari akanikuta na hiyo zahamaUlikosea wapi hadi ukaambiwa hivo?
Demi wewe hukutamkiwa?Wanaotamkiwa maneno mabaya mara nyingi hufanikiwa..wakikumbuka yale maneno wanazidi kupambana.
Asante, ila sijasahau kejeli ya mzazi wake mpaka leo😅😅😅😅 Hongereni kwa kuwa pamoja hadi leo.
Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.
Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”.
Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.
Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.
Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.
Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
Hapana sijawahi tamkiwa mabaya. Nilikuwa mtoto mzuri mwenye akili. Nimekuwa mkubwa nimekuwa mtu mbaya😀Demi wewe hukutamkiwa?
😅😅😅😅hii aione mpwayungu kwenye jaladaMimi mwalimu aliwahi kunisisitiza kuwa nisome ili niwe na maisha mazuri kama ya mwalimu
Ulimuuluza Swali gumu sana 😅😅😅Nakumbuka mwalimu wa biology alikuwa anatufundisha topic inayohusu masuala ya uzazi, Kwa bahati nzuri nikamakinika nayo tofauti na siku zingine ambapo mwalimu akiwa anafundisha Mimi nachora ama katuni au namchora mwalimu mwenyewe. Ticha alipotoa fursa ya kuuliza maswali Mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kurusha mkono juu Kwa mbwembwe mpaka yeye mwenyewe akashanga, aniniteua. Nikamuuliza kuwa mwamaume aliye rijali anatoa manii/shahawa nyingi kiasi gani, cha kushangaza akanijibu Kwa hasira akisena shenzi mukubwa mbona topic zilizopita hukuwa unazifuatilia, kapige punyeto upime manii zako kwanye chupa ya Kilimanjaro uje na majibu kesho. Nilitamani ardhi ipasuke lakini haikuwezeka, huyo mwalimu Sasa hivi ni mlevi na anapiga puli kisawasawa.
Nadhani kilichomkera ni umakini wangu uliovuka mipaka katika topic ya reproduction ukilinganusha na mada zingine😂😂.Ulimuuluza Swali gumu sana 😅😅😅
Kwanini nimenuna wakati nilikuwa natabasamuBaadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.
Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”.
Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.
Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.
Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.
Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
Daaaa! Hapo alipowahusisha wazazi alifel sanaNakumbuka kuna mwalimu tukiwa primary alikuwa akikasirika anatukana matusi na alipenda kusema " wewe utakuwa mshona cherehani tu na kwakuwa wote humu ndani mtakuwa mnashona basi hakutakuwa na wateja hivyo mtaishia kushona chupi za baba zenu na mama zenu"
Dah yule mwalimu amestaafu now ila bahati mbaya mpaka anastaafu alikuwa hana nyumba wala kiwanja, mafao yalipotoka akaishia kununua nyumba na hivi sasa anatia huruma sana maana amefulia balaa.
Bora hata huyo, rafika yangu aliambiwa na mwalimumu wa hesabu "ukiona nyumbani hawajapika ndo unakuja shuleni ile upate kutia mkono mdomoni, Kwa ninavyokuona utasikitika mno ukimaliza shule". Duh niliumia Kwa niaba ya rafiki yangu.Daaaa! Hapo alipowahusisha wazazi alifel sana