Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

Usiwaamini waalimu, ni waongowaongo sana.
Walikuwa wananiita eti mimi ni kichwa nitafika mbali, matokeo yake nauza mabungo. Labda kama walimaanisha kufika mbali kiumri yaani kuishi miaka mingi yenye msoto duniani.
 
Teacher Mary wa English form 1 alinisusua mbele ya wanafunzi wenzangu ati nimepaka shadow wakati ni mishipa ile ya green kwa sababu ya weupe wangu inaonekana waziwazi. Mwishowe aliniambia nisipoacha kujipodoa nnapoenda shule ntaishia majutooo. Ntakuja kulia kama mbwa mdomo juuu 🤣. Ila katika mtu asiejua kukasirika wala kununa mmoja mie. Yule mwalim wala sikumuwekea kinyongo badala yake alikuja kuwa rafiki yangu na alijua kuwa sikuwa najipodoa kumbe na ubyuti nature tu
 
Eti aliniambia nitakuwa mwenyekiti wa CCM kijijini kwetu. Nikawaza huyu mwl ananionaje aiseee kiasi cha kunihusiha na chama cha majizi na mafisadi duniani.
 
Awww 😅😅😅😅ulikua ni wivu tu 😅
 
Usiwaamini waalimu, ni waongowaongo sana.
Walikiwa wananiita eti mimi ni kichwa nitafika mbali, matokeo yake nauza mabungo. Landa kama walimaanisha kufika mbali kiumri yaani kuishi miaka mingi yenye msoto duniani.
😅😅😅😅😅
 
I'm not perfect ila nafanya kazi katika ufanisi mkubwa ninaowaudumia wanasema wenyewe, ila point ni kwamba usimuhukumu mtu mapema mpe muda unaweza kukataa jiwe walilolikataa waashi likawa jiwe kuu la pembeni.
👏🏻👏🏻
 
😅👏🏻👏🏻
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…