Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo bali ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukua cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yoyote anitambue.

Je, Umewahi kuwaza kuua mtu? Chanzo kilikuwa nini?
 
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo Bali Ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukuwa cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa Lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae Sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yeyote anitambue.

Je, Umewahi Kuwaza Kuua mtu? Chanzo Kilikuwa Nini?
Pole sana
 
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo Bali Ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukuwa cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa Lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae Sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yeyote anitambue.

Je, Umewahi Kuwaza Kuua mtu? Chanzo Kilikuwa Nini?
Aisee hata mie ningeliwaza hivyo. Duu ila humu duniani kuna maswahibu makubwa sana ni Mungu atupe uvumulivu ktk yote

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Una hasira sana
Na unapenda kuingilia ugomvi wa wakubwa

Siku zote pambana kudhibiti hasira zako. Utakula hasara ukijiendekeza
Nikikumbuka Jinsi Walimu wa O-level walivyokuwa wakali, na nilivyohimili adhabu mbalimbali, kuacha usingizi na kutembea kwenye baridi kwa miaka mingi alafu mtu aje achane cheti changu kirahisi. Aisee 😠
 
Kuna jamaa alikuja na idea ya biashara flani hakuwa na hela. Akaniambia tuunganishe nguvu mimi nikatoa kiasi na yeye akatoa kiasi. Nakumbuka nilitoa 2mln yeye sijui alitoa ngapi ila aliniambia tu after 1 week angenirudishia na riba ya laki 3 katika kila 1 mil. Nikaona hii iko poa.

Nikampa hatukuandikishiana PPT. Nakumbuka nlichomoa hela kweenye hela ya serikali nlikuwa na project binafsi ila nlipewa hela na Serikali kama 4 mil hivi.

Jamaa alikuja kunipa hiyo hela baada ya mwaka mzima kupita tena bila riba for sure natamani kumtoa upepo sina jinsi tu.
 
Nikikumbuka Jinsi Walimu wa O-level walivyokuwa wakali, na nilivyohimili adhabu mbalimbali, kuacha usingizi na kutembea kwenye baridi kwa miaka mingi alafu mtu aje achane cheti changu kirahisi. Aisee 😠
Huyo mzee ungemuacha akichane cheti kisha mziki wake unampeleka mbele ya sheria ndio atajua nini maana ya kusotea cheti🤣
 
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo Bali Ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukuwa cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa Lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae Sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yeyote anitambue.

Je, Umewahi Kuwaza Kuua mtu? Chanzo Kilikuwa Nini?

Wachawi sio lazima wabebe manyanga
Hilo zee halifai
 
Kuna jamaa alikuja na idea ya biashara flani hakuwa na hela. Aksniambia tuunganishe nguvu mm nikatoa kiasi na yeye akatoa kiasi. Nakumbuka nlitoa 2mln yy sijui alitoa ngapi ila aliniambia tu after 1 week angenirudishia na riba ya laki 3 katika kila 1 mil. Nikaona hii iko poa.
Nikampa hatukuandikishiana ppt.
Nakumbuka nlichomoa hela kweenye hela ya serikali nlikuwa na project binafsi ila nlipewa hela na serikali kama 4 mil hivi.
Jamaa alikuja kunipa hiyo hela baada ya mwaka mzima kupita tena bila riba for sure nataman kumtoa upepo sina jinsi tu
Lakini Nadhani umejifunza kitu. Swala la hela huwa linaenda sambamba na maandishi.
 
Back
Top Bottom