Kuna jamaa alikuja na idea ya biashara flani hakuwa na hela. Aksniambia tuunganishe nguvu mm nikatoa kiasi na yeye akatoa kiasi. Nakumbuka nlitoa 2mln yy sijui alitoa ngapi ila aliniambia tu after 1 week angenirudishia na riba ya laki 3 katika kila 1 mil. Nikaona hii iko poa.
Nikampa hatukuandikishiana ppt.
Nakumbuka nlichomoa hela kweenye hela ya serikali nlikuwa na project binafsi ila nlipewa hela na serikali kama 4 mil hivi.
Jamaa alikuja kunipa hiyo hela baada ya mwaka mzima kupita tena bila riba for sure nataman kumtoa upepo sina jinsi tu