HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Na ukaamua kuwa Mwalimu?Mimi nimesoma Kemibos Bukoba ada mwaka 2011-2014 ilikuwa kwa mwaka Mil3. Sasa wewe unafikiri mchezo Mkuu???
Na one ya digits
Hizo hela si bora ungeendelea kununua migomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukaamua kuwa Mwalimu?Mimi nimesoma Kemibos Bukoba ada mwaka 2011-2014 ilikuwa kwa mwaka Mil3. Sasa wewe unafikiri mchezo Mkuu???
Na one ya digits
😅😅😅🧢Nilipanga kumgonga na gari mtesi wangu, yaani nilikua namvizia njia ya mtaa kabisaa huku nimekunja ndita, ila Mungu si athumani kila nilivyokua nafanya hivyo kile kiumbe kilikua hakikatishi njia ile.
Duuh wewe una hasira sanaKuna mzee mmoja niligombana nae kisa tulibishana kwenye ukumbi wa mpira ilikuwa Real Madrid na Barcelona (El Classico). Na mie nikiwa ni Team Ronaldo.
Mie nilikaa kimya ila yule mzee akawa anaongea shit sana, kuwa najifanya mjuaji mara ooh najifanya nina pesa na maneno kibao ya kukera.
Kiuhalisia mie huwa sio muongeaji sana, huwa naamuaga kukaa kimya maana nikiwa na hasira nakuwa na kigugumizi ghafla na kuanza kutetemeka. Sasa yule mzee ndio ikawa point kwake maneno kibao mie namchora tu.
Mpira ukaisha ile tunatoka yule mzee akawa anasema huyu mtoto lazima nimkomeshe tu na shit kutosha.
Alivyosema hvo nikajawa na gesi sio kawaida sikuongea na mtu nikaenda moja kwa moja hadi Gas station (sheli) nikanunua petrol lita 5 nikarudi hadi mtaani nikavizia kwenye saa 8 usiku nikaenda hadi kwake na nikaanza kuimwaga ile petrol kuizunguka nyumba ya yule mzee lengo langu niwateketeze yeye na familia yake.
Ile nakaribia kumaliza kumwaga ile petrol kidogo jamaa angu huyu hapa kumbe alikuwa ananifatilia tokea muda.
Jamaa kafika pale akanirukia kapiga kidumu kule akaanza kunisihi niache kufanya maamuzi kama yale. Hapo mie nimejaa sio kawaida.
Kiukwel ikabidi niache lakini ndio ikawa pona yake yule mzee na family yake.
Lakini sikuishia hapo maana nilikuja kumvunja mguu baada ya miezi kama mi3 mbele hivi.
😅😅😅😅No, this was too much. I have spent four years to get it and then someone destroys it easily like that! You are so polite!
Ndugu yangu ni mwaka wa tatu sasa toka fundi huyo akimbie na 4.5m ambazo nilizilipa kwa maumivu ya riba,nilipata kibarua sehemu ndo kilichoniokoa kumaliza deni na kubahatika kuweka madirisha mengine ila likizo yangu nilienda dodoma nilikaa wiki tatu namsaka mdogomdogo,nilimkosa ila naona roho inaniambia ipo siku nitamwona,aisee nitamtafuna,maumivu yangu hayajawahi kuishaNadhiri gani [emoji28][emoji28][emoji28]
🙄🙄🙄Kuna dude nalivutia upepo
Hii tarehe ilikuwaje17/3/2023 inaniuma sana simalizi wik nalia![]()
Kumbe umemaliza form four 2014, ukikua utaacha kufikiria mambo ya hicho chetiMimi nimesoma Kemibos Bukoba ada mwaka 2011-2014 ilikuwa kwa mwaka Mil3. Sasa wewe unafikiri mchezo Mkuu???
Na one ya digits
Kwanini Mkuu siwezi kudharau Mafanikio hata Kama ni madogo kiasi gani?Kumbe umemaliza form four 2014, ukikua utaacha kufikiria mambo ya hicho cheti
Kuua ni kiwango cha juu cha ushirika wako na shetani, na ukiona Hali ya kuua inakujia kimbia kaini aliambiwa dhambi inakuotea na unatakiwa kuishindaWaovu hawazaliwi wakiwa hivyo bali ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.
Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukua cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.
Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.
Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.
Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?
Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.
Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yoyote anitambue.
Je, Umewahi kuwaza kuua mtu? Chanzo kilikuwa nini?
Aisee pole Sana mkuuKuna jamaa aliniuzia bidhaa iliyo chini ya kiwango nikaenda nayo mpaka nyumbani bila kujua nilipofika nyumbani nakuta mambo tofauti nikarudisha mzigo dukani akaukataa yaani aliniudhi nafikiria nikamchomee TRA lakini sina ninaemjua TRA ndo ikawa pona yake
Bila ya shaka huyo mzee hakuwa miongoni wa wenye busaraWaovu hawazaliwi wakiwa hivyo bali ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.
Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukua cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.
Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.
Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.
Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?
Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.
Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yoyote anitambue.
Je, Umewahi kuwaza kuua mtu? Chanzo kilikuwa nini?
Mkuu Njoo Dm tujadili jambo la muhimu [emoji120]Nilitapeliwa simu kariakoo na kijana mmoja hivi,..hatua za mwisho kabisa za kumfanya yule kijana awe chizi mama yangu alinisihi sana nisimfanyie ukatili binadamu mwenzangu kwa kitu kama simu ila mimi niliambiwa nichague kati ya kumtoa roho au nimfanyie uchizi...
Huyo ungepiga kisu tuNikikumbuka Jinsi Walimu wa O-level walivyokuwa wakali, na nilivyohimili adhabu mbalimbali, kuacha usingizi na kutembea kwenye baridi kwa miaka mingi alafu mtu aje achane cheti changu kirahisi. Aisee [emoji34]