Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Kwa kweli. Maudhi ni mengi
Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la wabakaji,wezi ikafikia muda nikaitwa na serikali ya kijiji kuwa nitafute mbadala Kwan hilo jengo ni hatarishi kwa jamii.So nikamwiita fundi yule wa siku zote tushariane namna ya kufanya,akanishauri nichukue mkopo pahala angalau niwezeke madirisha wakati najipanga.Si kawaida yangu kukopa but ilibidi niende pahala nikope milioni 5.Kwa sababu mie naishi mwingine.Tukapiga hesabu tukaona milioni 4.5 inatosha kumaliza na kufitisha madirisha.Mie ili kuepuka kutumatuma pesa ikabidi nimwamini km siku zote nikamtumia pesa yote na kutolea. AISEE huu ni mwaka wa 3 Kwan baada ya kupata pesa ile alihama mkoa na kuhamia dodoma .Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo bali ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukua cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yeyote anitambue.

Je, Umewahi kuwaza kuua mtu? Chanzo kilikuwa nini?
Ukija kuwa mkubwa utamwua huyo mzee!
 
Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la wabakaji,wezi ikafikia muda nikaitwa na serikali ya kijiji kuwa nitafute mbadala Kwan hilo jengo ni hatarishi kwa jamii.So nikamwiita fundi yule wa siku zote tushariane namna ya kufanya,akanishauri nichukue mkopo pahala angalau niwezeke madirisha wakati najipanga.Si kawaida yangu kukopa but ilibidi niende pahala nikope milioni 5.Kwa sababu mie naishi mwingine.Tukapiga hesabu tukaona milioni 4.5 inatosha kumaliza na kufitisha madirisha.Mie ili kuepuka kutumatuma pesa ikabidi nimwamini km siku zote nikamtumia pesa yote na kutolea. AISEE huu ni mwaka wa 3 Kwan baada ya kupata pesa ile alihama mkoa na kuhamia dodoma .Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu, kutapeliwa pesa ya mkopo huku ukiwa huna kibarua maumivu yake hayaelezeki.

Nadhani ulishafikiria kuua pia.
 
Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la wabakaji,wezi ikafikia muda nikaitwa na serikali ya kijiji kuwa nitafute mbadala Kwan hilo jengo ni hatarishi kwa jamii.So nikamwiita fundi yule wa siku zote tushariane namna ya kufanya,akanishauri nichukue mkopo pahala angalau niwezeke madirisha wakati najipanga.Si kawaida yangu kukopa but ilibidi niende pahala nikope milioni 5.Kwa sababu mie naishi mwingine.Tukapiga hesabu tukaona milioni 4.5 inatosha kumaliza na kufitisha madirisha.Mie ili kuepuka kutumatuma pesa ikabidi nimwamini km siku zote nikamtumia pesa yote na kutolea. AISEE huu ni mwaka wa 3 Kwan baada ya kupata pesa ile alihama mkoa na kuhamia dodoma .Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Nadhiri gani 😅😅😅
 
Waovu hawazaliwi wakiwa hivyo bali ni matokeo ya uminywaji wa haki na Uonevu katika Jamii. Hata magaidi au wanaotekeleza mauaji ya kinyama, lazima Kuna sababu nyuma yao.

Miaka ya nyuma nilienda shuleni kuchukua cheti Cha O-level. Nilfunga bahasha kwenye baiskeli nikawa nikiendesha speed. Kuna wazee niliwakuta tunafahamiana, Kati yao kulikuwa na mmoja ana mgogoro wa shamba na familia yetu, alikuwa anang'ang'ania shamba letu na anakiri wazi kuwa anafanya hivyo kwa sababu hayupo tayari kuona mjane akiwa na ardhi kubwa Kuliko yake.

Nikaona hakuna haja ya kusalimia, nikawapita kwa kasi kufika mbele nikagundua nimedondosha bahasha yenye cheti! Nikaanza safari ya kurudi taratibu kwa mguu huku nikiangalia barabarani kwa umakini kama nitaona bahasha.

Ghafla nikakutana wa wale wazee halafu lile zee lililokuwa lina mgogoro wa shamba na familia yetu ndilo limeshika cheti changu anakisoma huku anawaambia wenzake "watoto wote wa huyu mwanamke (mama yangu) Wana akili Sana darasani.

Nikaanza kwa kuwasalimia na kuwabembeleza wanipe Ile bahasha. Lile zee likakazana kusema "ulitupita pale bila kutusalimia hivyo hatukupi hii bahasha, kwanza nachana hichi cheti" Hapo ndipo Wazo La Kuua liliponijia kwa Mara ya kwanza katikati maisha yangu. Yaani mtu anataka kutunyang'anya shamba na Cheti changu akichane kweli?

Wenzake ndiyo wakawa wanamzuia asikichane, baadae sana akanipa ila kwa mbinde sana cheti kikiwa kimekunjika-kunjika kama mchicha wakati muda mfupi uliopita kilikuwa kipya.

Ana bahati, angechana Cheti changu, ningetafuta mbinu yeyote anitambue.

Je, Umewahi kuwaza kuua mtu? Chanzo kilikuwa nini?
Niliwahi kuwaza. Na pia namna ya ku execute hiyo plan kama sehemu ya kulipiza kisasi. Lakini namshukuru mungu alinisaidia kunilipia kisasi
 
Huyo mzee ungemuacha akichane cheti kisha mziki wake unampeleka mbele ya sheria ndio atajua nini maana ya kusotea cheti[emoji1787]
Sheria ingeendeshwa kwa upepo nakati unajua kabisa Mawakili na wanasheria wananeemekaga kiulaji papo hapo?

Hukuelewa kuwa Mama yake na Jamaa ni Mjane?
 
Kuna mzee mmoja niligombana nae kisa tulibishana kwenye ukumbi wa mpira ilikuwa Real Madrid na Barcelona (El Classico). Na mie nikiwa ni Team Ronaldo.

Mie nilikaa kimya ila yule mzee akawa anaongea shit sana, kuwa najifanya mjuaji mara ooh najifanya nina pesa na maneno kibao ya kukera.

Kiuhalisia mie huwa sio muongeaji sana, huwa naamuaga kukaa kimya maana nikiwa na hasira nakuwa na kigugumizi ghafla na kuanza kutetemeka. Sasa yule mzee ndio ikawa point kwake maneno kibao mie namchora tu.

Mpira ukaisha ile tunatoka yule mzee akawa anasema huyu mtoto lazima nimkomeshe tu na shit kutosha.

Alivyosema hvo nikajawa na gesi sio kawaida sikuongea na mtu nikaenda moja kwa moja hadi Gas station (sheli) nikanunua petrol lita 5 nikarudi hadi mtaani nikavizia kwenye saa 8 usiku nikaenda hadi kwake na nikaanza kuimwaga ile petrol kuizunguka nyumba ya yule mzee lengo langu niwateketeze yeye na familia yake.

Ile nakaribia kumaliza kumwaga ile petrol kidogo jamaa angu huyu hapa kumbe alikuwa ananifatilia tokea muda.

Jamaa kafika pale akanirukia kapiga kidumu kule akaanza kunisihi niache kufanya maamuzi kama yale. Hapo mie nimejaa sio kawaida.

Kiukwel ikabidi niache lakini ndio ikawa pona yake yule mzee na family yake.
Lakini sikuishia hapo maana nilikuja kumvunja mguu baada ya miezi kama mi3 mbele hivi.
Afu kuna mataahira yanakwambia habari za kwenye Biblia ni hadithi za vijiweni nakati Nabii Musa alikuwa na hasira kwa asili ya kigugumizi kama wewe?

Watu wenye asili ya kigugumizi huwa nawaogopa kama ajali maana huwa hawana msamaha kirahisi rahisi kabisa.
 
Monds naomba mm n familia yangu huu uzi ufutwe kwa maslahi mapana ya kulinda amani na utulivu w jamii
 
d01f8d10918783a57ba1adc7e7d25623.gif
 
Back
Top Bottom