Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Afu kuna mataahira yanakwambia habari za kwenye Biblia ni hadithi za vijiweni nakati Nabii Musa alikuwa na hasira kwa asili ya kigugumizi kama wewe?

Watu wenye asili ya kigugumizi huwa nawaogopa kama ajali maana huwa hawana msamaha kirahisi rahisi kabisa.
Ni mtihani sana mkuu.
 
Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la wabakaji,wezi ikafikia muda nikaitwa na serikali ya kijiji kuwa nitafute mbadala Kwan hilo jengo ni hatarishi kwa jamii.So nikamwiita fundi yule wa siku zote tushariane namna ya kufanya,akanishauri nichukue mkopo pahala angalau niwezeke madirisha wakati najipanga.Si kawaida yangu kukopa but ilibidi niende pahala nikope milioni 5.Kwa sababu mie naishi mwingine.Tukapiga hesabu tukaona milioni 4.5 inatosha kumaliza na kufitisha madirisha.Mie ili kuepuka kutumatuma pesa ikabidi nimwamini km siku zote nikamtumia pesa yote na kutolea. AISEE huu ni mwaka wa 3 Kwan baada ya kupata pesa ile alihama mkoa na kuhamia dodoma .Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
"Ndo siku ya kwanza kulia machozi huku nacheka.Nimemwekea nadhiri moyoni"...[emoji848]
 
Una anger issues, tafuta mtaalamu wa afya. Yasije yakatokea kama ya yule dada wa Kenya, binti wa miaka 24 ambaye ameona kumuua mtoto wake ndilo lilikuwa suluhisho na akaishia kutafuna hadi utumbo wa mtoto.
 
Ukipata nafasi ya kulipa kisasi chako wewe lipa tu kwa kweli hata kama ni Mimi nimekufanyia ubaya. Kisasi kinatesa sana nafsi.
 
Nilitamani kuuwa mtu siku ambayo mama angu anafukuzwa kwenye nyumba aliyojenga na mume wake, Hali hiyo ilitokea baada ya Baba kufa.

Kama sikuuwa kipindi naamini sitakuja kuuwa tena aisee
 
Moja ya vitu naogopa na sipendi mtu anizoee ni cheti Cha form four yaani cheti Cha form four nakihusudu Sana Bora mtu achane Cha ubatizo naweza msamehe lakini sio form four maana nimesoma shule za gharama Sana Hadi form four.
Kila cheti kinapatikana upya, mi huwa sijihangaishi na kitu ambacho naweza kipata tena
 
Back
Top Bottom