Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa.Wakati niko mdogo, wazazi walitoka nyumbani na kuniachia samaki waliokuwa kwenye chungu kwenye mafiga wakichemshwa. Mi katika kumbukumbu zangu, huwa naona baada ya muda fulani huwa wanachukuwa mwiko na kugeuza geuza chakula wakati kinapikwa. Basi nikachukuwa mwiko nikawachanganya changanya kama mboga za majani wale samaki wakawa uji! Waliporudi, walishangaa sana na kusikitika.
Naomba kukazia hapo pa dona chef mkuu, akimaliza kusonga, apunguze moto kisha afunikie ili dona liive lisiwe na harufu ya unga.!Mabuje/ mabuja, yaondoe kwa kuanza kukologea uji then uache uchemke kama ni dona lichemke haswaa. Then songa
Ila wakati wa kukologa uji usitoke jikoni mpk uji utengemae.
Chef master ahsante kwa kuongezea.Naomba kukazia hapo pa dona chef mkuu, akimaliza kusonga, apunguze moto kisha afunikie ili dona liive lisiwe na harufu ya unga.!
😆😆 Kweli ulizingua mwenyewe bi mkubwa aliniachiaga samaki wa kubanika watoka kutanda (kuvua kwa kutumia chandalua ) wengine akaenda kuwauza , na wengine akaniachia maagizo niwabanike Sasa badala ya kuweka mkaa tu juu ya mfuniko Mimi nikajaza majivu kabao na mkaa...wakati nafunua ningalie wamefikia wapi mfuniko ulikuwa wa moto nikaurusha jivu lote kwenye samaki...Maza alivyorudi akataka kujua imekuaje nikawa Nampa taarifa huku nimekaa mita 100Wakati niko mdogo, wazazi walitoka nyumbani na kuniachia samaki waliokuwa kwenye chungu kwenye mafiga wakichemshwa. Mi katika kumbukumbu zangu, huwa naona baada ya muda fulani huwa wanachukuwa mwiko na kugeuza geuza chakula wakati kinapikwa. Basi nikachukuwa mwiko nikawachanganya changanya kama mboga za majani wale samaki wakawa uji! Waliporudi, walishangaa sana na kusikitika.
Ya mbele ya watu mbona kawaida saana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shukuru tu haiwi mbele ya watu.!!
Hope one day nitaonja mapishi yakoHaha....
Huo umeniisha sahii, umri hauruhusu.!
Mimi pamoja na kua ME lakini nilifunzwa na nimejua kupika ugali ulioiva kabisa bila mabonge nikiwa darasa la 4 tu. Tena nilikua napikia familia yetu ya watu 6 sema sometimes kukadilia ndiyo ilikua shughuli siku nyingine ugali unakua mdogo [emoji16] hivyo italazimika ambao hawajashiba wasonge wa kukazia.hakika,
Na utamu wa chakula ni kampani, mnajikuta mmeshusha mlima.!
Aisee hakuna upishi wa ugali ulioniachaga mdomo wazi kama huu wa kuanza kukologa uji kwanza, mara ya kwanza niko geto mkoa wa nyanda za juu kusini huko najitegemea mshkaji wangu mmoja hukohuko tu tulitokea kujuana na tulizoeana sana akawa anakuja kwangu mara mosimosi tunapika na kula and vice-versa kwake kwa hakika tuliishi kama marafiki wa utotoni wa kutoka sehemu moja.Mabuje/ mabuja, yaondoe kwa kuanza kukologea uji then uache uchemke kama ni dona lichemke haswaa. Then songa
Ila wakati wa kukologa uji usitoke jikoni mpk uji utengemae.
Ni mwendo wa ubwabwa ugali mara chache sanaUgali ukiwa mkubwa vile kuanza kudandia mwiko unasweti mpaka nyonyo inaboaga sana,
Familia unaipikiaje sasa.!?
Duh! Hukupita kwenye zile mnaitaga kitchen party sijui au hujai kaa geto na wadada wenzio huko life la way back?!Ni mwendo wa ubwabwa ugali mara chache sana
Asante dear ugali una kazi sana kupikaMabuje/ mabuja, yaondoe kwa kuanza kukologea uji then uache uchemke kama ni dona lichemke haswaa. Then songa
Ila wakati wa kukologa uji usitoke jikoni mpk uji utengemae.
Mkuu sio kama siwezi kupika ugali kabisa nikipika unatokea vibayaDuh! Hukupita kwenye zile mnaitaga kitchen party sijui au hujai kaa geto na wadada wenzio huko life la way back?!
Namie nataka kuonja vitu fresh jamani.!!Ubwabwa umenisumbua sana enzi hizo.. I mean ule ubwabwa standard kabisa.
Nilikuwa natoa boko' kila nikipika lazima maji yazidi. mpaka nilipoelekezwa kuwa kabla ubwabwa haujakaukia maji usiugeuze geuze sana.
Now natoa vitu fresh.
Heeeey. Hebu nifundishe vyakula vya bsness... Ndio vipi?