Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
- Thread starter
- #61
Haha,Kwanza kabisa mie napenda kupika . yano raha ya maidha yangu naipata jikoni😂😂😂😂😂
Nilipozingua sasa, siku ya kwanza kujifunza vileja nikaandaa vizuri mpka kuweka kweny oven kuchoma, baada ya muda nkachungulia nakaona vinabonyea nikaona nipunguze moto niswali magharibi nije nitoe, vitu nilivyokuta hapo vimekua kama mkaa vyote vimeungua sasa zile mbwembwe za kuwaambia watu leo nawaandalia vileja zikakata zote.
Mara ya pili kuzingua ilikua kweny chapati. Kiufupi mie fundi wa chapato sasa ktk kuzidisha manjonjo nikawa nimekata yale madonge tayari kwa kuyatia mafuta kishaa baadae nichome chapati, pembeni kukawa na peanut butter, sa siunajua mafuta yake hupenda kujichuja juu nikaona niyatumie ktk kusukumia zile chapati ili nifunge yale madonge, bwana bwan chapat zikawa tayari.mezani sasa chapat mchambuko ila ile harufu ya karanga ikabaki.kweny chapati zikawa haziliki pona yangu nilikua na mtoto mdgo ndo nikasingizia nilikuta amemiminia mafuta ya peanut kwny chapati
Maskiini, ukamsingizia malaika wa watu jamani.!