Na maumivu juu maana nahisi ulichubuka....ila sasa jiangalie kama yeye ana huo mchanga angalia usije ukawa umetoka na kokoto kabisa....japo sijui huo mchanga ukoje, kwani ulivotoka shimoni ulitoka na niniYaani wee acha tu, Na ndo ujikute ushahudumia Sana mpk mmefika kwny date ya namna hiyo. KiHASIBU unajihesabu umepata hasara
Hata mimi nimechoka aisee, nimewaza hata km ni gonjwa, utakuwa ugonjwa gani huoHata sisi mashangazi hili hatujawahi kukutana nalo wala kulisikia, mchanga tena 😳
View attachment 3246710
Hii mpya mchanga huu huu wa beach au upi tena.Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.
Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.
Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.
Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.
Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.
HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.
NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI
NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.
Nawasilisha🙏🙏
Mwanamke akiwa mchafu na nguo ya ndani anavyaa siku mbili au uke mkavu hiyo hali hutokea japo uke una namna yake ya asili ya kujisafisha.My first time kuskia kitu kama hicho,au labda mi ni mgeni wa hayo mambo
Kama wewe ni mwanamke utawezaje kujua hali hiyo sasa?Hata mimi nimechoka aisee, nimewaza hata km ni gonjwa, utakuwa ugonjwa gani huo
Inamaana kama sio hali ya kawaida ni lazima naye atakuwa anajiskia tofauti huko chini, labda kama ameota visundo sundo vile ambavyo huwa havina maumivu na asijue nini kinaendelea hukoKama wewe ni mwanamke utawezaje kujua hali hiyo sasa?
sawaMwanamke akiwa mchafu na nguo ya ndani anavyaa siku mbili au uke mkavu hiyo hali hutokea japo uke una namna yake ya asili ya kujisafisha.
Mimi huwa nausikia kwa baadhi ya wanawake. Kuna vipande kama viwili vya michanga vidogo vinakwangua kabla hajawa wet sana na hujachanganya gia. Baadae hupotea hiyo haliHata sijui unafananaje mkuu,
Ila nikiingiza ndo nauskia unavoscratch balaa
Siyo maghorofa mkuuKua uyaone
Kuna ambao wanajisikia na kuna ambao hawajui hasa wale kidogo tu wanalalamika kuumia na kutokana kuwa wakavu, ila kwa mwanaume anahisi kama mchanga mchanga vile.Inamaana kama sio hali ya kawaida ni lazima naye atakuwa anajiskia tofauti huko chini, labda kama ameota visundo sundo vile ambavyo huwa havina maumivu na asijue nini kinaendelea huko
Mkuu kuna nwaka 2012 hadi 2013 nilikuwa na mpenzi wangu...kila tukimaliza kufanya tendo la ndoa kwa mara kwanza nahisi maumivu kama kuna kitu kimeumiza dudu langu..hivyo inaleta ugumu kurudia tendo la ndoa mara ya pili.Sio dar TU, Hadi mkoani mkuu,
mmoja niliwai kutana nae bahi-dodoma mwaka 2018, ila ilkua hit&Run, Na Sijawahi mwambia.
Mchanga upoje uko ukeni,na uzee huu sijawai kuona huyo mwenye mchanga ukeni!Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.
Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.
Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.
Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.
Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.
HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.
NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI
NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.
Nawasilisha🙏🙏
Watalamu wa matumbua/vitumbuaThat's VAGINAL DRYNESS. Mkuu mfanyie ratiba ya kula zaidi mboga kama BAMIA, mrenda, nyanya chungu, biringanya, avocado's, banana something like this after two or three weeks kitu itakuwa very smooth 😂
Nipo moro nitumie pm namba yake nikamsalimie shemYupo mkoani mkuu (moro), Kwasasa tumepeana break kdg