Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Yaani wee acha tu, Na ndo ujikute ushahudumia Sana mpk mmefika kwny date ya namna hiyo. KiHASIBU unajihesabu umepata hasara
Na maumivu juu maana nahisi ulichubuka....ila sasa jiangalie kama yeye ana huo mchanga angalia usije ukawa umetoka na kokoto kabisa....japo sijui huo mchanga ukoje, kwani ulivotoka shimoni ulitoka na nini
 
Hii mpya mchanga huu huu wa beach au upi tena.
Apo umekutana na jini itakuwa
 
My first time kuskia kitu kama hicho,au labda mi ni mgeni wa hayo mambo
Mwanamke akiwa mchafu na nguo ya ndani anavyaa siku mbili au uke mkavu hiyo hali hutokea japo uke una namna yake ya asili ya kujisafisha.
 
Kama wewe ni mwanamke utawezaje kujua hali hiyo sasa?
Inamaana kama sio hali ya kawaida ni lazima naye atakuwa anajiskia tofauti huko chini, labda kama ameota visundo sundo vile ambavyo huwa havina maumivu na asijue nini kinaendelea huko
 
Hata sijui unafananaje mkuu,
Ila nikiingiza ndo nauskia unavoscratch balaa
Mimi huwa nausikia kwa baadhi ya wanawake. Kuna vipande kama viwili vya michanga vidogo vinakwangua kabla hajawa wet sana na hujachanganya gia. Baadae hupotea hiyo hali
 
Daah sijakuelewa kabisa mkuu

🤔Ni mchanga kias gani? Kwani huo mchanga uliingiaje kwenye kitumbua chake?
 
Inamaana kama sio hali ya kawaida ni lazima naye atakuwa anajiskia tofauti huko chini, labda kama ameota visundo sundo vile ambavyo huwa havina maumivu na asijue nini kinaendelea huko
Kuna ambao wanajisikia na kuna ambao hawajui hasa wale kidogo tu wanalalamika kuumia na kutokana kuwa wakavu, ila kwa mwanaume anahisi kama mchanga mchanga vile.
 
Kuna ambao wanajisikia na kuna ambao hawajui hasa wale kidogo tu wanalalamika kuumia na kutokana kuwa wakavu, ila kwa mwanaume anahisi kama mchanga mchanga vile.
Ngoja DeepPond aje ajibu kama ni ukavu au mchanga wa kufyatulia tofali
 
Sio dar TU, Hadi mkoani mkuu,
mmoja niliwai kutana nae bahi-dodoma mwaka 2018, ila ilkua hit&Run, Na Sijawahi mwambia.
Mkuu kuna nwaka 2012 hadi 2013 nilikuwa na mpenzi wangu...kila tukimaliza kufanya tendo la ndoa kwa mara kwanza nahisi maumivu kama kuna kitu kimeumiza dudu langu..hivyo inaleta ugumu kurudia tendo la ndoa mara ya pili.
Hivyo nilidumu nae kwa mwaka mzima ila tulikuwa tunafanya mapenzi mara moja tu kila tukikutana make nikitaka kuruduia nahisi maumivu kama nilikua nakwaruzwa wakati nafanya mapenzi. Au ndiyo mchanga unayosema? Make mpaka tunaachana sikujua tatizo ilikuwa ni nini.
 
Huyo anachezaga beach bila kyupi
 
Mchanga upoje uko ukeni,na uzee huu sijawai kuona huyo mwenye mchanga ukeni!

Kuna mmoja kila nikilalanae napata U.T.I kali,juzi hadi nikawa nakojoa damu kabisa, nimemuambia asinitafute tena!

Hapa nimemaliza dose ya AZUMA ndio afadhali! hawa wanawake sasaivi wanatembea na maradhi sababu ya kulalwa hovyo na kila mtu.
 
That's VAGINAL DRYNESS. Mkuu mfanyie ratiba ya kula zaidi mboga kama BAMIA, mrenda, nyanya chungu, biringanya, avocado's, banana something like this after two or three weeks kitu itakuwa very smooth 😂
Watalamu wa matumbua/vitumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…