sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
SubiriMdomo unaumba mkuu hii ni dunia.
Am 45yrs, nimejenga nikiwa na 21yrs , now dar nna 4 houses ,Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Nakuombea utimize malengo hayo ila ikiwa tofauti usijiue na usipende kutamka hilo neno dearNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Kaa kwa kutulia mkuu😂😂😂Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Ongeza speed ya kuumaliza ujana ndugu.Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Daaah wewe mwehu kweli 😄😄😄Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Hongera mkuu, 21 ulikua unafanya biashara au Wewe ni msaniiAm 45yrs, nimejenga nikiwa na 21yrs , now dar nna 4 houses ,
Ni rehma za allah
Akijibu unitag[emoji23][emoji23]Hongera mkuu, 21 ulikua unafanya biashara au Wewe ni msanii
Biashara,boda ya tunduma to dar ,enzi hizo,biashara ya transpota Pia enzi za mwaibula, nilikuwa risk taker pia,jambo la hatari nilikuwa siogopi enzi za ujana ule,Hongera mkuu, 21 ulikua unafanya biashara au Wewe ni msanii
Mdogo wangu wa mwisho[emoji3]Mimi nina 19 ila najichukulia kama mtu mzima japo nakula ugali wa shikamoo
usijidekeze
hahaa kidotiii....Mdogo wangu wa mwisho[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zipo nyingi but naion hii ndio weirdest one [emoji38][emoji38][emoji38]
Nilivyokua nikipita sehem alaf nisikie harufi nzuri ya msosi upo jikon basi nitapata hisia kali sana ya kwamba " it's mimi niko na familia yangu ( my wife and children) huku wife anarekebisha jikoni " hivyo nikaona huu utu uzima huu unaninyemelea
Hahahahahaha, kweli[emoji16]hahaa kidotiii....
mambo bado hayajaharibika
Sema ulikuwa unawaza mbali[emoji16][emoji16], mwenyewe niliwazaga hivyo[emoji3]Ya kijinga Sana sio ?