Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Mmmh
FB_IMG_1681888946205.jpg
 
dah dogo ata mm nlisemaga hivyo vivyo hapa nagonga 32 sina hata kitanda nalalia godoro la 60 tsh ,,tunaambiwa wanawke ni weng kuliko wahanaume ila mm nimeambulia kua pekee yang sasa sijui haliehisabu aliwahisab wanawake wa wapi kwakweli..
Umenidhalilisha sana kuniita dogo
 
Wakati Nina kama miaka 20 hivi Kuna brother mmoja alikuwa na miaka 26 na alikuwa hajaoa basi nikawa namshangaa sana kwann jamaa age imesogea alafu hata mke Hana.???????

Lahaulla kumbe nlikuwa najiongopea Bure Mimi nilikuja kupitia hiyo miaka na nikawa hata wazo la kuoa Sina na maisha hayajakaa sawa.!

Nimekuja kubutua na miaka 30 ndio huyo kuchukua jiko

Uzee Huwa unakuja ghafla sana !

Usishangae kumuona mwanaume na miaka 40 anatongoza bint WA miaka 16 ukamuona WA ajabu ni kuwa hata yeye anahisi hiyo 40 Hana na bado anajiona kama yupo 25.

Uzee haukubaliki wanangu
Pamoja kamanda.
Yaani nilivyokuwa mdogo. Nilisema sitooa mpka niwe na permanent residence. Duh...mwaka fulani nikaambiwa nyumba hiyo hapo oa ukae namkeo hakuna atakaye kusumbua. Hapo mawazo hayawazi tena nyumba nawaza kazi na kipato. Kuja kustuka nikawa nimetimiza miaka kama ya Yesu duniani. Kuhangaika maporini huko unashindwa kuseto na kufanya maamuzi sahihi huku shikamoo zinaongezeka. Tena kwa vijijini ndo kabisaa unakuta mtu mnalingana lakin yeye anakuamkia tuu wangejua wanaongeza stress vibaya mno.
 
Mwakani nashukia ghorofa ya 30 , sina hili wala lile wala linaloeleweka na nipo moshi mjini hata sielewi yaaaaani , najaribu mishe za udalali hata hazieleweki yaaaaanj dah
 
Hii Hali inanikita mm,kunasiku nimemkuta dada Mmoja akanipa shikamoo,nikalud tena shikamoo

Nikamuuliza wewe dada unajua mm na miaka mingap?akajibu sijui,

Nikamuuliza umezaliwa mwaka gani,akataja,kumbe kanizid mwaka mmoja

Nikasema hii mionekano ya njee hii inatukuza sana
 
Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.

Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!

Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Nilipo anza kuwaza hivi haya mahusiano yatanitesa hadi lini[emoji16][emoji16][emoji16] nikaendelea kuwaza si bora nioe kwanza mke anafaida nyingi ukiachilia kumtia kila mara[emoji39] atafua , ataweka mazingira safi , atapika tutakula n.k halafu hapo nisha misi kupata mtoto familia ianze nikakamilisha.
 
Nilipo anza kuwaza hivi haya mahusiano yatanitesa hadi lini[emoji16][emoji16][emoji16] nikaendelea kuwaza si bora nioe kwanza mke anafaida nyingi ukiachilia kumtia kila mara[emoji39] atafua , ataweka mazingira safi , atapika tutakula n.k halafu hapo nisha misi kupata mtoto familia ianze nikakamilisha.
hakika umri unapita haraka sana, waweza hata usijue nini kimetokea
 
Back
Top Bottom