kainoris
Senior Member
- Jul 1, 2022
- 197
- 228
MmmhNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Umenidhalilisha sana kuniita dogodah dogo ata mm nlisemaga hivyo vivyo hapa nagonga 32 sina hata kitanda nalalia godoro la 60 tsh ,,tunaambiwa wanawke ni weng kuliko wahanaume ila mm nimeambulia kua pekee yang sasa sijui haliehisabu aliwahisab wanawake wa wapi kwakweli..
Pamoja kamanda.Wakati Nina kama miaka 20 hivi Kuna brother mmoja alikuwa na miaka 26 na alikuwa hajaoa basi nikawa namshangaa sana kwann jamaa age imesogea alafu hata mke Hana.???????
Lahaulla kumbe nlikuwa najiongopea Bure Mimi nilikuja kupitia hiyo miaka na nikawa hata wazo la kuoa Sina na maisha hayajakaa sawa.!
Nimekuja kubutua na miaka 30 ndio huyo kuchukua jiko
Uzee Huwa unakuja ghafla sana !
Usishangae kumuona mwanaume na miaka 40 anatongoza bint WA miaka 16 ukamuona WA ajabu ni kuwa hata yeye anahisi hiyo 40 Hana na bado anajiona kama yupo 25.
Uzee haukubaliki wanangu
Nilipo anza kuwaza hivi haya mahusiano yatanitesa hadi lini[emoji16][emoji16][emoji16] nikaendelea kuwaza si bora nioe kwanza mke anafaida nyingi ukiachilia kumtia kila mara[emoji39] atafua , ataweka mazingira safi , atapika tutakula n.k halafu hapo nisha misi kupata mtoto familia ianze nikakamilisha.Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
hakika umri unapita haraka sana, waweza hata usijue nini kimetokeaNilipo anza kuwaza hivi haya mahusiano yatanitesa hadi lini[emoji16][emoji16][emoji16] nikaendelea kuwaza si bora nioe kwanza mke anafaida nyingi ukiachilia kumtia kila mara[emoji39] atafua , ataweka mazingira safi , atapika tutakula n.k halafu hapo nisha misi kupata mtoto familia ianze nikakamilisha.
Kwakweli maisha haya dahhakika umri unapita haraka sana, waweza hata usijue nini kimetokea
29 ww ni libaba lizee kabisa. Umri huo kwenye soka ni babu kabisa jipangeMm nina miaka 29 , bado nipp magetoni tuu
Mara nyingi mtu hukubaliana na ukweli baada ya kupata watoto.
Sababu ut uzima ni majukumu/responsibilities, na watoto wako hukamilisha hilo kwa wewe kuwa tegemezi lao.Kivip mkuu