Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Mtu ambaye ni medical doctor by proffesion anaweza akajoin ur university kuchukua MBA?
 
Kwani serikali imeruhusu foundation siku hizo maana Dogo wangu anaitamani degree kinoma noma
Ndio inatolewa na chuo Kikuu Huria pekee
Kwa mwanafunzi aliemaliza form 6 akawa na ufaulu wa walau E na S(cut off point ya 1.5)
Then akiwa amemaliza Diploma walau awe na GPA ya 2.0 and above
 
Wanaotegemea kufanya supplementary ya foundation course kwenye mitihani inayoanza tarehe 8 September matokeo yao yatawahi kiasi kwamba wataweza kufanya application vyuo vingine?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…