Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
- Thread starter
-
- #41
Hapana hii picha ipo mtandaoni nimechukua kuainisha mada tajwa hapo juu kwa lengo la kufundishana, kutoa elimu Pana na mwangaza katika maisha ya viumbe wake.Kwann umepigia picha nje ya fensi je tuamin hujui chochote kuhusu fremason wala huna acces ya kuingia hata ndan ya jengo
Mbona sijaelewa hapa lodge yoyote?Namna ya kujiunga, tafuta ukumbi au lodge kwa kiingereza, karibu nawe ingia na uonane na grand Master uongee nae.
Ndugu yangu punguza jazba.Tapeli wa Facebook kaja jf.
Kwanini usiwaambie watu wakaingie ili wajibiwe maswali yao hukohuko na wahusika ?
Wewe mwenyewe unapiga picha ukiwa umejificha.
Kuna mpuuzi mmoja Tapeli kaleta swagger zake nikamwambia OK hata milioni moja takupa ila njoo nifuate home twede nikakulipe ndani ya Hall lenu hilo la Posta. Tukaishia kuzozana
Ndugu yangu punguza jazba.
Ni marufuku kushawishi mtu kuingia kule, Bali mtu mwenyewe kwa nafsi yake huridhia kuingia kule.
Kujiunga na FREEMASONRY unatakiwa kwenda kwenye lodge karibu yako mwenyewe kwa hiari ukaombe nafasi ya kuwa mwanachama.
FREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.Mbona sijaelewa hapa lodge yoyote?
Huyo jamaa ni noma sana na mama yake mzazi... musician??Nielezee kiundani zaidi
KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi
Sina maana kama naitka kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi
Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
Kwaiyo na huku kativi izo lodge hao wa kuu wapo?
Hapana diamond platnumz halali na mama yake mzazi ni tetesi za uongo tu.Huyo jamaa ni noma sana na mama yake mzazi... musician??
Huwezi kumtoa kafara kupitia FREEMASONRY, labda kwa mganga wa kienyeji.Ninaweza kumtoa kafara member wa jf ananisumbua sana
Kumbe,Je faida mnayopata ya kumuabudu shetani ni ipi?Shaytan kwa neno la kiarabu.
Ngoja nijipange kwa hilo, kama ikikupendeza naomba uniambie faida ya kujiunga huko maana wengine tukisia neno freemason kichwa kinawaza pesa kutokana na story za mtaani juu ya hiyo taasisi ,unipe fursa zilizoko hikoFREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.
Mkuu nenda posta mkabala na Kilimanjaro hotel au benki kuu, utaona jengo limeandikwa FREEMASON HALL. ingia humo ndani kaonane na viongozi.
Ushauri.
Itapendeza ukivaa suti nyeusi an viatu vyeusi, uwe na briefcase.
Au vaa shati jeusi suruali nyeusi soksi nyeusi na viatu vyeusi.
Nguvu za maajabu, utajiri, kukubalika na jamii, ulinzi, kuepusha magonjwa na ajali.Kumbe,Je faida mnayopata ya kumuabudu shetani ni ipi?
Kwa uandishi huu huna ujualo kuhusu Mosons
Hizo ni stori watu watanzania wwnazungumza, ukweli ni kwamba hakuna kafara ya mwanadamu Bali kafara ya mbuzi dume mkubwa yaani beberu, kujua Sala na kanuni Sheria na mifumo. Huu no utaratibu wao.
Wao huchukua nafsi yako na tiketi moja kwa moja mpaka kuzimu kuwatumikia kipindi umeaga dunia.
Kobo G karibu Sana ndugu yangu katika ulimwengu mpya wenye mwangaza asilia,Ngoja nijipange kwa hilo, kama ikikupendeza naomba uniambie faida ya kujiunga huko maana wengine tukisia neno freemason kichwa kinawaza pesa kutokana na story za mtaani juu ya hiyo taasisi ,unipe fursa zilizoko hiko