Uko vizuri mkuunyoka anatumia ulimi wake kama antena ili kupata frequences ya kitu kilichopo mbele yake.sense of vision ya nyoka ni ndogo sana.anapotoa ulimi na kuurudisha ndani inapeleka straight kwenye ubongo utambuzi wa kilichopo mbele na kumpa decision ya kufanya.wale nyoka wenye kimkia kinacheza wanaitwa VIPER na PUFFY ADDER kile kimkia akitingisha anatoa taarifa ya uwepo wake pale ili usisogelee na kumfanya ajihami.hakuna nyoka wenye vichwa viwili hizo ni TALES tu.labla ikitokea ni abnomalities tuu au kijenetiki.ila nyoka na wanyama ALBINO wapo.
Sure.Kwa maana hii naweza sema Kobe anaishi muda mrefu zaidi kuliko Tembo..
Niliwahi kwenda tour na wenzangu nikamuona Kobe ameandikwa kuwa na zaidi ya miaka 150
Tiger yuko fasta kwenye mapambano bt hana pumzi za kupigana na Simbatiger hawapatikani africa lakini ni mkubwa kuliko simba wa africa.kwa kipimo inaonyesha TIGER ni very sharp and technic kuliko simba wa africa.nadhani tiger mbabe zaidi
Kuna clip niliona mbwa mwitu kang'ang'ania pumbu za nyati hadi akachomoka nazoHapa mkuu, jamaa alimaanisha mnyama ambaye endapo atakutana na simba basi simba lazima akimbie kuokoa maisha yake kulingana na hatari ambayo iko mbele yake
Na nahisi hapa mbwa mwitu ana-fit kabisa maana wale mabwana hawanogi kama ugali usio na mboga. Naskia wana rules yao ya "one touch" yani kimbiza ng'ata kisha sizi pembeni endelea kutafuna ulicho ng'ata huku wenzako wakiendelea kukimbiza kwa mtindo huo huo mpaka mnyama anayewindwa kuishiwa nguvu na kuanguka.
Yani eti hawawindi ka simba anavyofanya mpaka amuangushe mnyama chini ahakikishe amekufa kabisa ndio aanze kumla. Wao hawaepui wanalia jikoni hapo hapo kikiwa bado chamoto moto huku kikiendelea kuchemka.
Wakikutana Simba mmoja na sokwe mmoja Simba si kitu kwa sokwe atachezea mabanzi hadi achokeJe Simba anaweza kumuua Sokwe?
Nilishawahi kukutana na chui uso kwa uso vu bin vu nikafreeze kwa woga haoooo tukatazamana tu kwa sekunde kadhaa halafu huyo kimya kimya akaenda zake. Tangu hapo navutiwa sana na mnyama huyu msiri; na ningependa kujua tabia zake za msingi. Huwa anashambulia binadamu? Anapenda kuwinda wakati gani? Maisha yake yakoje kwa ujumla?
ndio anafikia miaka 70 hadi 100.huku africa tuna NILE CROCODILE ndio common sana.uzito wa mamba hufikia hadi kg 600 na urefu wa mita 5.ni mnyama ambae anaweza kuishi mwaka mzima bila kula.katika kipindi cha ukame mamba akikosa chakula hushusha mapigo yake ya moyo kwa kila pigo 1 kwa dakika.inaitwa Hirbernated.hufanya hivyo akiwa sehem tulivu bila kujisogeza.ni mnyama pia anaemeza mawe baada ya kula nyama ili kisaidia usagaji wa chakula.kingine ndio mnyama anaeongoza kwa strongest bite.yaani akikubana na ule mdoma wake ni umeangukiwa na semiMamba ndy mnyama anayeishi miaka mingi..Kama sikosei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lion(simba)hyena(fisi)leopard(chui)elephant(tembosa)
Aisee Kumbe si lolote kwa SokweWakikutana Simba mmoja na sokwe mmoja Simba si kitu kwa sokwe atachezea mabanzi hadi achoke
kuna hoteli moja ya kitalii walizoea kumrushia nyama chui akija kula wageni wanampiga picha.akazoea hiyo tabia siku ingine kaja hamna kitu akapita na mtoto wa kizungu alikuwa anacheza mpira.ilikuwa noma sana hiyo.chui alishtukiwa akakimbia akaacha maiti ya mtoto.kesho yake wamemfata maskan kwake akawa amejificha si anajua amefanya bofu anatafutwa auliwe!!mziki aliwaamshia hapo marangers hawatausahauChui mara nyingi ni mwepesi kubaini uwepo wako kwenye eneo lake (territory) kabla hujamuona.
Chui ni miongoni mwa wanyama wawili akiwemo mamba ambao kuwawinda ( uwindaji wa kitalii) ni changamoto.
Chui wakati wa kumuwinda hata ukimtegea mzoga hababaiki nao mpaka ajue aliyeuweka na malengo ya kuweka hapo.
Vinginevyo wanyama karibu wote wanamuogopa binadamu mpaka atakapoona usalama wake uko hatarini
anaona lakini sio sana.poor vision
Fisi ni Entale.Fisi, Chui, Simba na Tembo kwa kihaya wanaitwaje?
Na wale tigers ambao huwa tunawaona kwenye movie au video za miziki huwa wana wa harmonize vipi ?ndndio wanafugwa lakini muda wowote INSTICTS zake za kiporini zinaweza kukugeukia akakumaliza.