machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mbona paka wengine hawana manes,au kwakua Simba wanaishi kwenye pride?mainly simba hushambulia kwenye spinal cord kuliko shingoni!hawa wakiwa kwenye fighting.unaonaje hiyo??
nirudi kwako mchangiaji.Mtoa mada
Kwanini twiga hatoi sauti namaanisha kwanini hana uwezo wa kutoa sound!
Na kwanini Simba dume ana sharubu
swali fikirishi sana hili.evolution ndio ilichagua simba awe na sharubu sababu RIVAL FIGHTING.ni kweli sharu zinawasaidia sana madume wakiwa wanapigana ingawa tecnic kubwa ya simba huwa ni kuvunja uti wa mgongo wa mwenzie ili kumdhoofishaMbona paka wengine hawana manes,au kwakua Simba wanaishi kwenye pride?
SIJAJIJIBU NIMEULIZA
Kama anaona vizuri? Ni kipi kinapelekea kukupitia miguuni? Haswa ukitulia sehemu moja? Fanya research mkuu,,,ukimwona nyoka yeyote mbele yako,,,ukisimama kwa muda,, unaweza kumshtukia anakupitia miguuni...sasa kwann akifate miguuni? labda ukianza kumove ndy anahisi mbele kua jambo ,,anakimbia , nadhani ndy chanzo cha watu kuwakanyaga nyoka,,,...pia kuna siku niliona documentary Fulani inayozungumzia nyoka,,,yupo bwana mmoja misri,,yeye kazi yake ni kukamata nyoka tena kwa mikono yake miwili, hana fimbo hana chochote...anazunguka jangwani akiona shimo anaita nyoka kwa majina,,kama nyoka yule yupo mle ndani atatoka,,,halafu anamkamata,,kumpeleka kumuuza,,kwa watu maalum wanywa damu za nyoka,,, Huyo jamaa akaprove kama nyoka haoni.,anafata harufu na hisia ya vitu...ndy maana yeye kuwakamata ni rahisi.....Nyoka ana macho na anaona vizuri, kuhusu swala la kutoa ulimi nje kila mara hii inatokana na kuwa nyoka hana masikio kama wanyama wengne kwaiyo anatumia ulimi kunasa mawimbi ya sauti.
Umejibu vema!swali fikirishi sana hili.evolution ndio ilichagua simba awe na sharubu sababu RIVAL FIGHTING.ni kweli sharu zinawasaidia sana madume wakiwa wanapigana ingawa tecnic kubwa ya simba huwa ni kuvunja uti wa mgongo wa mwenzie ili kumdhoofisha
Kuhusu mbuni kufukia kichwa chini ni sehemu ya kujilinda na maadui Kama fisi na Dumanirudi kwako mchangiaji.
kwanini mbuni akifkuzwa na predator hufukia kichwa chini??!!na kuacha mwili wote juu??
swali lingine.
kwanini vultures(tai)hawawindi kama ilivyo bird of prey wengine kama martial eagle au goshawk
color comouflage.
Elezea kidogo
Qn 1. Ningependa kujua kwanini simba na fisi wanapewa sifa zifuatazo;-
"Lion is a king of the jungle"
"Fisi ni bwana afya porini"
Qn 2. Ni mnyama gani wa porini ambaye ni adui mkubwa wa simba?.
Shukrani sana mkuu, hapa nimeelewa vyema.Naomba nichangie hili
1. Simba anachukuliwa kama mfalme wa pori kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuwinda (nguvu, technic na mipango/ organisation) kiufupi, hakuna mnyama anayemwogopa wala kumshindwa akimuamlia. Mfano, pride kubwa kabisa ya simba ina uwezo wa kumuangusha tembo
2. Adui mkuu wa Simba porini ni fisi (spotted hyena). Hii inatokana na organisation waliyonayo fisi, na wahanga wakubwa ni simba jike. Fisi humpokonya simba chakula na kumuulia watoto mara nyini
ndio.Mtoa mada umewahi kukutana na Nungu nungu?
ndege joni ni marabou stock!je kwanini anaitwa marabou stock??Kuhusu mbuni kufukia kichwa chini ni sehemu ya kujilinda na maadui Kama fisi na Duma
Ni surprise defensive mechanism!
Vultures na undertaker birds(mandege Joni) ni Kama fisi kazi yao kubwa ni ku safisha