Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

Mkuu asante sana kwa swali lako.

Kwanza kujihusisha na project za madini siyo lazima uyafahamu kwa kitaalamu. Kwa maana hii unatakiwa kujua soko na aina ya madini yanayohitajika. Kwa maana hii unahitaji kuwa na mzoefu au mtaalamu atakayekuongoza katika biashara hii. Wapo wataalamu wa uzoefu na wa kusomea kisha wakapata na uzoefu katika madini hayo. Mkuu wataalamu wakusomea wako katika ngazi za cheti (miezi 3-mwaka1), diploma (miaka 2-3)na degree (miaka 4) na vyuo vipo hapa tanzania na nje ya hapa. Elimu ya madini imegawanyika katika vitengo vitatu
1. Utafiti (exploration)
2. Uchimbaji (mining)
3. Uchenjuaji (processing)

Napenda kukujuza kuna aina za madini zaidi ya 2000, ambayo yamegawanyika katika makundi mbalimbali (hili ni somo kubwa sana) lakini unaweza chimba aina moja ya madini na ukatajirika.

Pili swala la mtaji
Biashara ya madini ni biashara yenye highest risk sana, ndiyo maana unasikia alienda hana mtaji na karudi na mamilioni na wengine wanaenda na mtaji wanarudi mikono mitupu, hii inatehemea mtaalamu wako au uzoefu wako katika namna ya kuwekeza. Hivyo kama wewe ni mgeni kabisa unahitaji kukaa na mzoefu kisha umwambie unakiasi gani na yeye akueleze kulingana na mtaji wako utawekeza katika namna ngani, ukiona mtaalamu wako amekueleza vizuri then unaamua. Kama wewe ni mgeni ukiingia kichwakichwa utapoteza pesa zako bure.

Madini ni yetu tuyachine yatunufaishe,

Kama unashauku ya kujua zaidi karibu uulize tena mkuu.
Mkuu swali langu lingine nahitaji kujua tofauti ya mtu aliyesomea mining na aliyesomea geology?tofauti yao ni nini hasa
 
Mkuu nashukuru sana na nakupongeza kwa kujibu maswali kwa uweledi wa hali juu.
Nimefurah umenieleza ukweli bila ushabiki wa aina yoyote wala kuegemea upande mmoja.
[emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666]
 
Mkuu
Kuna geology, mining na processing

1.Mining huyu anasomea uchimbaji wa madini hivyo anakuwa mtaalamu wa namna ya kuchimba ili upate madini

2.Geology hili ni somo la kuhusu miamba na madini, huyu hujifunza namna ya madini yanavyotitengeneza katika dunia.
3. Processing huyu yeye ni mbobezi wa kuchenjua

Hivyo geologist ndiye mtu anayekusanya data zinazoonesha madini yapo umbali gani, wingi kiasi gani na yamekaaje kwenye mwamba akikusanya hizi data ndiyo anamkabizi miner apange yatachimbwaje ili yawe na faida na mgodi uwe salama usiangukie na miner akipanga na kuchimba mawe yenye madini anaenda kumukabizi mineral processing huyu ndiyo anachenjua hadi madini yanapatikana.

Wote hao watatu ni elimu tofauti na inahitaji degree ya miaka 3-4 ili uweze kupigwa katika taaluma hizo, hata hivyo elimu ya cheti, diploma pia zinapatikana. But wote hao watatu wanafanya kazi kwa pamoja migodini
Mkuu swali langu lingine nahitaji kujua tofauti ya mtu aliyesomea mining na aliyesomea geology?tofauti yao ni nini hasa
 
Mkuu
Kuna geology, mining na processing

1.Mining huyu anasomea uchimbaji wa madini hivyo anakuwa mtaalamu wa namna ya kuchimba ili upate madini

2.Geology hili ni somo la kuhusu miamba na madini, huyu hujifunza namna ya madini yanavyotitengeneza katika dunia.
3. Processing huyu yeye ni mbobezi wa kuchenjua

Hivyo geologist ndiye mtu anayekusanya data zinazoonesha madini yapo umbali gani, wingi kiasi gani na yamekaaje kwenye mwamba akikusanya hizi data ndiyo anamkabizi miner apange yatachimbwaje ili yawe na faida na mgodi uwe salama usiangukie na miner akipanga na kuchimba mawe yenye madini anaenda kumukabizi mineral processing huyu ndiyo anachenjua hadi madini yanapatikana.

Wote hao watatu ni elimu tofauti na inahitaji degree ya miaka 3-4 ili uweze kupigwa katika taaluma hizo, hata hivyo elimu ya cheti, diploma pia zinapatikana. But wote hao watatu wanafanya kazi kwa pamoja migodini
Mkuu,
Kuna MTU anatengeneza oven/kiln zenye uwezo wa joto LA hadi 1800c. Sasa,unafikiri zinaweza tumika vizuri katika shughuli za uyeyushaji kwenye madini?Nilifikiri nianze kufanya biashara ya kuzipeleka huko ili niziuze/kukodisha.naomba ushauri!
 
Mkuu,
Kuna MTU anatengeneza oven/kiln zenye uwezo wa joto LA hadi 1800c. Sasa,unafikiri zinaweza tumika vizuri katika shughuli za uyeyushaji kwenye madini?Nilifikiri nianze kufanya biashara ya kuzipeleka huko ili niziuze/kukodisha.naomba ushauri!
Mkuu kabla ya kutoa ushauri, fafanua vizuri kifaa chako kwa maana kuna kazi mbalimbali za oven/kiln ili ueleweke vizuri.

Mkuu pia unapaswa kufafanua vizuri target yako Oven/Kiln unataka ikafanye kazi ipi?
Mfano kuna smelting kiln, kuna kiln za kuchoma limestone, gypsum etc, pia kuna oven/kiln ya kuchoma miti ili upate charcoal (mkaaa).

Nakuomba ufafanue vizuri mimi pia nilikuwa nahitaji kwa ajiri ya kuchoma coconut shell ili nipate activated carbon.
Mkuu wewe ni mdau mhimu sana katika processing industry, nitakusaidia marketing, funguka ueleweke.
 
Mkuu kabla ya kutoa ushauri, fafanua vizuri kifaa chako kwa maana kuna kazi mbalimbali za oven/kiln ili ueleweke vizuri.

Mkuu pia unapaswa kufafanua vizuri target yako Oven/Kiln unataka ikafanye kazi ipi?
Mfano kuna smelting kiln, kuna kiln za kuchoma limestone, gypsum etc, pia kuna oven/kiln ya kuchoma miti ili upate charcoal (mkaaa).

Nakuomba ufafanue vizuri mimi pia nilikuwa nahitaji kwa ajiri ya kuchoma coconut shell ili nipate activated carbon.
Mkuu wewe ni mdau mhimu sana katika processing industry, nitakusaidia marketing, funguka ueleweke.
Hii kiln/oven/furnace inauwezo wa maximum temperature ya 2000 centigrade
Ina control switch kwa ajili ya kuset temperature unayotaka.mfano Kama unataka joto LA 1500c basi utaset na itaishia hapohapo kwenye 1500c.hio inafanana na Kama friji inavyofanya kazi.Na unaweza tumia gas au electric
Kuhusu target market..
Kwakua sina uzoefu mkubwa katika mining,kwa haraka naweza sema inaweza kufanya smelting au kuchoma vitu mbalimbali Kama limestone,etc.Baadhi ya watu walionunua hii oven/kiln wanatumia kuyeyushia platinum. Kuna MTU mwingine anaitumia katika pottery.huyu anaitumia kuchomea kwenye utengenezaji wa pottery.
Na tunaunda za ukubwa tofauti.minimum size ni 50 centimeters(squared).Hapa chini nimeweka picha ya oven yenye ukubwa wa mita moja( square in size) ambayo ilikuwa ikichoma pottery.
 

Attachments

  • IMG-20190812-WA0001.jpg
    IMG-20190812-WA0001.jpg
    66.7 KB · Views: 44
mkuu kujenga huo mtambo ya kurifine natural gas ikatumika majumbani ni gharama sana. Imagine plant za madimba na songosongo kwa kuprocess gas cost ni almost 2.5Trilion wakati cost ya LNG plant zidisha hiyo cost mara 10
Kama hiyo 2.5 Trillion uliyoweka hapo juu ni Shillings basi ume-underestimate sana gharama za LNG Plant hususani ile ambayo ilitaka kujengwa Lindi! Gharama ya ile plant ni zaidi ya Trilioni 60 za Kitanzani!
 
Mkuu kama nina gold detectors naruhusiwa kutafuta sehemu yeyote bila kubughudhiwa kama wanavyofanya Australia sehemu za wazi zenye madini?
Na je inahitaji permit hata kwa hiyo detector
 
Mnapatikana wapi?. Kama itapendeza waweza ni PM number yako kwa mazungumuzo zaidi. Vipi bei zake iko je?
Hii kiln/oven/furnace inauwezo wa maximum temperature ya 2000 centigrade
Ina control switch kwa ajili ya kuset temperature unayotaka.mfano Kama unataka joto LA 1500c basi utaset na itaishia hapohapo kwenye 1500c.hio inafanana na Kama friji inavyofanya kazi.Na unaweza tumia gas au electric
Kuhusu target market..
Kwakua sina uzoefu mkubwa katika mining,kwa haraka naweza sema inaweza kufanya smelting au kuchoma vitu mbalimbali Kama limestone,etc.Baadhi ya watu walionunua hii oven/kiln wanatumia kuyeyushia platinum. Kuna MTU mwingine anaitumia katika pottery.huyu anaitumia kuchomea kwenye utengenezaji wa pottery.
Na tunaunda za ukubwa tofauti.minimum size ni 50 centimeters(squared).Hapa chini nimeweka picha ya oven yenye ukubwa wa mita moja( square in size) ambayo ilikuwa ikichoma pottery.
 
Mnapatikana wapi?. Kama itapendeza waweza ni PM number yako kwa mazungumuzo zaidi. Vipi bei zake iko je?
Nipo A.kusini.nitakupm. Kuhusu bei siwezi elezea kwa haraka kwa kuwa hazifanani size na kuna gharama ya usafiri
 
Mkuu kama nina gold detectors naruhusiwa kutafuta sehemu yeyote bila kubughudhiwa kama wanavyofanya Australia sehemu za wazi zenye madini?
Na je inahitaji permit hata kwa hiyo detector
Kwa uzoefu wangu. Gold detectors wapo na wanafanya kazi bila licence tena sehemu yeyote hata ndani ya licence za watu, kwanza unawasaidia wamiliki licence kujua madini yalipo hasa hizi placer deposit ambazo ndiyo zinagunduliwa na detectors. But kwa kufanya kazi yako kwa uhakika unakata broker licence ambayo ni kama $125 kwa mwaka, kwa maana utakuwa unakusanya gold na unaenda kuuza.

Mkuu upo Austrial?. Karibu kwa swali jingine kama sijakujibu vizuri pia karibu kwa kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini
 
Nipo A.kusini.nitakupm. Kuhusu bei siwezi elezea kwa haraka kwa kuwa hazifanani size na kuna gharama ya usafiri
Ok. ni MP tutaongea zaidi na zaidi huko, karibu sana Tanzania katika sekta ya madini
 
Ok. ni MP tutaongea zaidi na zaidi huko, karibu sana Tanzania katika sekta ya madini
Nashukuru Sana kwa maelezo mazuri unayoyatoa bure kwenye hii forum.Hakika umeshatuinua Sana kimawazo
 
Kwa uzoefu wangu. Gold detectors wapo na wanafanya kazi bila licence tena sehemu yeyote hata ndani ya licence za watu, kwanza unawasaidia wamiliki licence kujua madini yalipo hasa hizi placer deposit ambazo ndiyo zinagunduliwa na detectors. But kwa kufanya kazi yako kwa uhakika unakata broker licence ambayo ni kama $125 kwa mwaka, kwa maana utakuwa unakusanya gold na unaenda kuuza.

Mkuu upo Austrial?. Karibu kwa swali jingine kama sijakujibu vizuri pia karibu kwa kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Asante sana kwa kunifungua macho
Mimi Sipo Australia ila nafuatilia sana vipindi vya madini na watu wanavyopiga hela ila kinachonishangaza huko Australia dhahabu zao jangwani zipo karibu sana kiasi unachimbua hata kwa mkono tu na unapata madini
Mkuu mimi niko UK ila mashine nzuri zinapatikana German na nimezifuatilia sana ila diaspora tunapigwa vita sana na dual
Nashukuru tena
 
kuna sehemu kando ya korongo msimu wa mvua utakuta mawe madogo madogo yenye rangi ya Pink nyekundu rambarau nilifatilia mkondo wa maji ulipotokea na kukuta unaelekea katika sehemu ni kichaka cha muda mrefu sana toka nipo mdogo na ni miti aina moja tu imeota hapo kijiji chote hakuna miti iyo nilifanikiwa kupata jiwe dogo kiasi lenye rangi ya zambarau iliyopauka na lingine jeus ila kwenye mwanga linakua zambarau ni madini gani hayo.

pia kuna miamba katika mlima unakuja mstari umenyooka una mawe mekundu yalio kama dam ya mzee kila mstari umeelekea sehem yake sehem hiyo hiyo kuna vitu vinarangi ya copa iv vinangaa sana na vina banduka kama vitungu na kusagika kabisa. wakat wa mvua miamba hiyo meus huwa na vimchanga vinavyongaa hata utapogusa miamba hiyo hubakia mkononi vikingaa
 
Asante kwa kushukuru mkuu. Tunaweza wasiliana PM kwa maelezo zaidi na zaidi kama utakuwa umevutiwa zaidi na biashara hii kwa hapa Tanzania. But siyo kweri watu wote wanapiga tu pesa na wale wanaopoteza wapo wengi tu.
Asante sana kwa kunifungua macho
Mimi Sipo Australia ila nafuatilia sana vipindi vya madini na watu wanavyopiga hela ila kinachonishangaza huko Australia dhahabu zao jangwani zipo karibu sana kiasi unachimbua hata kwa mkono tu na unapata madini
Mkuu mimi niko UK ila mashine nzuri zinapatikana German na nimezifuatilia sana ila diaspora tunapigwa vita sana na dual
Nashukuru tena
 
Back
Top Bottom