Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Asante kwa kushukuru mkuu. Tunaweza wasiliana PM kwa maelezo zaidi na zaidi kama utakuwa umevutiwa zaidi na biashara hii kwa hapa Tanzania. But siyo kweri watu wote wanapiga tu pesa na wale wanaopoteza wapo wengi tu.
Sawa mkuu ntakutafuta