sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
soko la amethiest lipoje kwa tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Perimeter
Hongera sana. Vipi duara yako imefika?Nimeyakubali mateso!hahaha...yaan naenda sambamba mno mno..nalate kulala saa11 niko on..maduarani[emoji4]
UMEWEZA raha ya kufundisha wanafunzi wanaosomeaga Kijiji mwalimu unatoa TITLE na vimaelezo kidogooo ila mtu anaelewa na anafanya bila makosa.
Hahahaha.UMEWEZA raha ya kufundisha wanafunzi wanaosomeaga Kijiji mwalimu unatoa TITLE na vimaelezo kidogooo ila mtu anaelewa na anafanya bila makosa.
Hongera sana. Vipi duara yako imefika?
Pipi,.naomba kijitabu basi hata kidogo juu ya hili,tafadhaliBwana nzalendo jibu lako linajibiwa vizuri sana na NATURAL GAS UTILIZATION MASTER PLAN 2016-2045. Hii ni plan ya serikali ya Tanzania itakavyotumia gas. unaweza kuisoma hasa ukurasa wa 15 hadi 31. . ila pia kumbuka gas haifanyiwi utafiti na TPDC. Bali ni makampuni binafisi hupewa vitalu na kufanya utafiti na kulingana na sheria serikali inamiliki 20% na hivyo mipango ya uanzaji wa udhalishaji gas na mafuta inategemea mipango ya mabwana wakubwa wanaomiliki hisa kubwa pia pesa za kuendeleza miladi.
Mkuu cheguvala asante kwa swali lako.vp ajira kwa watu wa petroleum geologist na geologist kwa ujumla hpa Tanzania??
Nitakutumia kuleee, karibu nikutmiePipi,.naomba kijitabu basi hata kidogo juu ya hili,tafadhali
Oooh,.Ahsante pipi
asante sana,mim namaliza hio petroleum geology udsm,vp kujiajili na changamoto zake,
Oooh,.Ahsante pipi
Madini unajiajiri, fursa zipo za kutoshamim nilikua nimetazamia hasa maswala ya maji(hydrogeology),lkn kupitia hii mada naweza pata changamoto zakujiajil upande wa madin,mafuta,gas na maji kwa ujumla