Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Ni mfumo na Asili ya Maisha tuu,,,kila MTU anatandikwa Kwa namna yake.
Ila sio kwa kushindana na uchi mkuu. Hata mi nitaweza filisika ila sitafilisiwa na tundu la mwanamke. Hayo mambo yana umri ndugu yangu. Kwenye miaka yetu hii 50's unasumbuliwa na wanawake tena mwanamke Polisi mwenye miaka 30's na mvuta bangi? Tulimshauri sana ila dah.

Inasikitisha, byee. Ngoja nikapambanie wanangu.
 
Yameshaisha. Niache basi usinitukane jamaa yangu.
Nenda kauze madafu Ikulu nimekwambia unaweza ukawa mkubwa ila kichwani empty wapo wanaume wana wanawake na hao wanawake ndio njia pekee za mafanikio waliyonayo ndio maana nikakwambia inategemea upo na mwanamke wa aina gani, ana akili gani kichwani za kimaendeleo na vingine sitoandika hapa

Ushanielewa wewe pimbi mdogo au nikuandikie list ya matajiri wenye wanawake wengi na hawajaanguka mpaka leo nao pia utawashauri waache umalaya?
 
Hahaaaaaa ana shehe mmoja rafiki yake pale BAKWATA Morogoro ndio anampotosha.

Sasa anashinda ndani analia kuishiwa, akichoka kukaa ndani anaenda kwenye vilinge vya vijana wa boda na magazeti pale karibia na CRDB Moro na kuanza kujisifia kuwa ana wanawake wengi.

Hii dunia hii. Inasikitisha sana.
Kwa hio wewe unawatukana ndugu zetu katika Iman Washia na Wasun kwamba wanafanya Umalaya kuoa wake wanne una akili wewe kweli?
 
Nenda kauze madafu Ikulu nimekwambia unaweza ukawa mkubwa ila kichwani empty wapo wanaume wana wanawake na hao wanawake ndio njia pekee za mafanikio waliyonayo ndio maana nikakwambia inategemea upo na mwanamke wa aina gani, ana akili gani kichwani za kimaendeleo na vingine sitoandika hapa

Ushanielewa wewe pimbi mdogo au nikuandikie list ya matajiri wenye wanawake wengi na hawajaanguka mpaka leo nao pia utawashauri waache umalaya?
Haya umeshinda. Hongera
 
Ila sio kwa kushindana na uchi mkuu. Hata mi nitaweza filisika ila sitafilisiwa na tundu la mwanamke. Hayo mambo yana umri ndugu yangu. Kwenye miaka yetu hii 50's unasumbuliwa na wanawake tena mwanamke Polisi mwenye miaka 30's na mvuta bangi? Tulimshauri sana ila dah.

Inasikitisha, byee. Ngoja nikapambanie wanangu.
Unamaanisha Waislamu Washia na Wasun kuoa wake wanne ni kufanya Umalaya? Yaan unawatukana waislamu na unawaambia waache umalaya waoe mke mmoja?
 
Hii story haina tofauti na ya baba yabgu mzazi, ila yeye alikua jembe, mpaka anafariki mambo yote aliyaweka sawa kwa ndugu zangu wote kwenda vizuri na familia yake. Ila kila nikipigaga hesabu, ni shughuli ngumu sana kuzaa zaa hovyo na wanawake, kwa vipato vyetu.
 
Ila sio kwa kushindana na uchi mkuu. Hata mi nitaweza filisika ila sitafilisiwa na tundu la mwanamke. Hayo mambo yana umri ndugu yangu. Kwenye miaka yetu hii 50's unasumbuliwa na wanawake tena mwanamke Polisi mwenye miaka 30's na mvuta bangi? Tulimshauri sana ila dah.

Inasikitisha, byee. Ngoja nikapambanie wanangu.
Hatufani Kifikra,kimaono,,kimitazamo,na Hatufanani pia Kimwili,,Kiroho na Kiakili....Wewe huwezi kuwa mimi na mimi siwezi kuwa wewe kamwe
 
Hii story haina tofauti na ya baba yabgu mzazi, ila yeye alikua jembe, mpaka anafariki mambo yote aliyaweka sawa kwa ndugu zangu wote kwenda vizuri na familia yake. Ila kila nikipigaga hesabu, ni shughuli ngumu sana kuzaa zaa hovyo na wanawake, kwa vipato vyetu.
Umetumwa kuijaza dunia acha au unataka ukaonane na Pdidy?
 
Ila sio kwa kushindana na uchi mkuu. Hata mi nitaweza filisika ila sitafilisiwa na tundu la mwanamke. Hayo mambo yana umri ndugu yangu. Kwenye miaka yetu hii 50's unasumbuliwa na wanawake tena mwanamke Polisi mwenye miaka 30's na mvuta bangi? Tulimshauri sana ila dah.

Inasikitisha, byee. Ngoja nikapambanie wanangu.
Unaona unachokiandika hapa wewe tumbili mwitu?
 
Hii story haina tofauti na ya baba yabgu mzazi, ila yeye alikua jembe, mpaka anafariki mambo yote aliyaweka sawa kwa ndugu zangu wote kwenda vizuri na familia yake. Ila kila nikipigaga hesabu, ni shughuli ngumu sana kuzaa zaa hovyo na wanawake, kwa vipato vyetu.
Hata mi mzee wangu alikuwa na watoto wengi wa nje. Tuliyopitia Mungu anajua ila ni kweli kuzaa hovyo na wanawake wengi ni changamoto kwenye familia. Unaharibu furaha na maisha ya wanao bila sababu.
 
Hata mi mzee wangu alikuwa na watoto wengi wa nje. Tuliyopitia Mungu anajua ila ni kweli kuzaa hovyo na wanawake wengi ni changamoto kwenye familia. Unaharibu furaha na maisha ya wanao bila sababu.
Nimesemaje umezaa na mwanamke wa aina gani na ana akili gani za kimaendeleo? Acheni lawama za kijinga wewe ulitakaje mzee wako apige nyeto ungekuepo wewe?
 
Nimesemaje umezaa na mwanamke wa aina gani na ana akili gani za kimaendeleo? Acheni lawama za kijinga wewe ulitakaje mzee wako apige nyeto ungekuepo wewe?
Inaonekana either una shida ya akili au ni kweli hujabalehe kama jamaa alivyokuambiaa hapo juu. Tafadhali naomba usinitukane. Unanivunjia heshima. Achana na mimi.
 
Inaonekana either una shida ya akili au ni kweli hujabalehe kama jamaa alivyokuambiaa hapo juu. Tafadhali naomba usinitukane. Unanivunjia heshima. Achana na mimi.
Na wewe umeoa wake wanne je wewe pia ni Muislamu Malaya uache Umalaya Muislamu kwa kuoa wake wanne huo ni Umalaya unakubali au unakataa?
 
Back
Top Bottom