Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Ila yote kwa yote majitu majizi nayachukia sana sijui sababu sina kitu

Hivi kila mtu akiiba hivyo tutafika? Halafu tunalalamika kwanini hatutoboi
 
Comment bora kabisa. Haina hata chembe ya husuda! Mungu akufanyie wepesi mkuu.
 
Acha njaa na wivi bro![emoji38]
 
Acha njaa na wivi bro![emoji38]
Sina njaa Sina wivu Mzee maisha ya mtandaoni kila mtu Bill Lugano we understand that, Bei Elekezi naongopa ? Hutaki muulize Chizi Maarifa

Naweza nikakwambia hapa nachat Jf nikiwa nipo ndani ya Submarine chini ya maji na ukajaa ulivyo jinga, ninaenda kesho kutembelea ujenzi wa mabangaloo yangu hapo masaki ambayo nimetumia almost Trillion 200 nikikwambia hivyo unajaa tena pumbavu, pokea Kofi la uso utoe wenge hilo
 
akituma nitag mkuu na mimi nikae kwenye foleni ya kupokea fedha
 
Wewe ni muhaya?


Chai.
 
Hii chai sema ina ujumbe mzuri. 3m kwa siku kihalali nje ya mshahara ni kitu kigumu hapo ni upiga dili 100%. Cha muhimu wakati unaendelea kulaumu maskini jitahidi kutunza hela sehemu isiyojulikana ili likitokea la kutokea uwe na hela ya kumlipa wakili.
 
Nimekwambia haina haja ya kujieleza nafanya nini mkuu. Amini unachoamini ila nilichoandika ndio ukweli wangu
Wewe ni mwongo. Au unadhani watu humu ni wajinga wajinga hawajui mifumo? 3m kwa siku ni ngumu na kama ni upigaji iwe serikalini au nje ya serikalini jua ni suala la muda tu kabla ya kudakwa.
 
Kitu kidogoo sana hicho.. endelea kula maisha. Una thawabu nyumbani.

Ila kawaombe msamaha hayo matusi nao wakuombe msamaha... Mpeane mikono muachane kwa amani.
Kupeana mkono na mchawi ni hatari zaidi. Hapo waachane juu kwa juu. Kuomba suluhu watu wanaojihusisha na uchawi ndo watakumaliza kirahisi. Hiyo mbinu ya kuwakoromea ni sahihi kwa wachawi
 
Kupeana mkono na mchawi ni hatari zaidi. Hapo waachane juu kwa juu. Kuomba suluhu watu wanaojihusisha na uchawi ndo watakumaliza kirahisi. Hiyo mbinu ya kuwakoromea ni sahihi kwa wachawi
Hakuna uchawi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…