Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...

Emu malizia story ulimla au mlishindwana hyo ndo ilibidi iwe maini body,

Kingine alipiga mzinga kulingana na mapokeo yako kwenye ofa bili ya 35k si haba kuomba 20k maana bill tiari ilionesha ni pochi nene

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Wadada wengine sijui akili wanazipeleka wapi?mtu amekuita mfurahi kidogo mara unabeba kundi la watu kama unaenda fiesta????na isitoshe ni mtu mnafahamiana,ok haitoshi mnafakamia vitu kama kwenu huwa hamli(je ni ushamba au ni umjini mi ndo sijui) hivi imagine hata kama ni mimi labda kuna kitu kizuri nilikuwa nafikiria and for the first day unabehave hivo hivi ntakuconsider tena zaidi ya kuona nawe hamnazo???
 
hii sasa ndio inaitwa lost opportunity.... sasa kama 350k imeenda kwa vinywaji sii u must have well made it a cool 1 million and just have a foursome with them ladies wewe
Nilipoona foursome nikajua ni mzabzaz kaingia kwenye sekta yake
 

Aliomba aje na frend zake nikamruhusu aje nao lengo tuenjoy tu.
 
hao ndiyo wanaoliwa kimasihara huko ma hostel wewe unajitutumua na mpunga wako
kupanga ni kuchagua
 
Ukiingia maeneo haya
Samaki, elements, levant, maison, havoc Ukimgusa manzi yyte ataanza na 300k kuna hadi 500k

Tips, kidimbwi wengi wanaenda wanachuo so offa zao wanaanza na 200k. Kazi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…