Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Sawa tunakubali lipo lakini tutaishi nalo kiakili

Anza kuifungia familia yako kwani umezuiwa na nani? Anza kuwa mfano
 

Thanks. No need of panicking. It has never helped anybody anywhere.
 
corona ipo Tanzania, na hajawai kuisha, na itaendelea kuua

izi zingine ni porojo za ccm ,adui namba moja wa nchi ni ccm
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
 
Just reminding you that, Simba SC walivyoenda kucheza na Plateau Nigeria walipimwa Covid na hamna aliekutwa nayo

Taifa stars walipoenda kucheza na Tunisia walipimwa Covid mjini Tunis na hakuna aliekutwa nayo
 
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
na wewe ukatwe kichwa kitenganishwe na mwili aafu tuone kama, maana kufa ni ahadi it was written so shall be done mnaambiwa corona inauwa mnajibu sisi mungu anatupenda ,dunia nzima nyinyi tu ? Tumswalie mtume.
 
Tuliahidi...tumetekeleza.
Tunasonga mbele pamoja #MitanoTena
 
Just reminding you that, Simba SC walivyoenda kucheza na Plateau Nigeria walipimwa Covid na hamna aliekutwa nayo

Taifa stars walipoenda kucheza na Tunisia walipimwa Covid mjini Tunis na hakuna aliekutwa nayo
Wale akiwatangaza Umi Mwalimu walikuwa akina nani ,jivikeni usahaulifu ,maana tokea alianza kwa kucheka mwisho ikaaa anatangaza ,mtu akikohoa anamkodolea macho.
 
Mashule,vyuo na nyumba za ibada yote hayo yapo wazi na ndio sehemu ambazo watu wanakutana karibu kila siku,na mwanzoni wakati shule na vyuo zinafunguliwa baada ya kufungwa kwa sababu ya corona basi watu wakawa wanasubiri mrejesho wake utakuaje na kuna wazazi waliogopa kupeleka watoto zao shule,sasa mie nilidhani kuwa hizo ndio sehemu ambazo tungeweza kuona athari ya corona kupitia hizo sehemu na ndio wengine wakawa wanasubiri hali itakuaje baada ya kufungulia mashule na watu kukusanyana kwenye majumba ya ibada. Ila inaonekana tumeshindwa kuona athari za corona katika maeneo hayo na sasa tumehamia kwenye vifo vya watu maarufu na wahindi kuvaa barakoa.

Nachokiona Tz corona imekuwa kama imani kwamba ukiamua unaamini na unaweza ukaamua kutokuamini. Wakati mleta mada yeye anaamini kuwepo kwa corona Tz na watu kuvaa barakoa kwenye mazishi ya wabaniani kwake yeye kuna mzidishia imani yake ya uwepo wa corona Tanzania,sasa sijui atazungumziaje kwa Muhimbili sasa hivi hawalazimishi kuvaa barakoa ili ndio uweze kuingia pale getini tofauti na mwanzoni ambapo ilikuwa bila barakoa huwezi kuruhusiwa kupita pale getini,na juzi nimetoka Ccbrt nako ni hivyo hivyo hakuna tena kulazimishwa kuvaa barakoa getini.
 
na wewe ukatwe kichwa kitenganishwe na mwili aafu tuone kama, maana kufa ni ahadi it was written so shall be done mnaambiwa corona inauwa mnajibu sisi mungu anatupenda ,dunia nzima nyinyi tu ? Tumswalie mtume.
Hamia kwenye lockdown usituchoshe. Unaandika kama imeleta pombe na haufikirii.
 
Wale akiwatangaza Umi Mwalimu walikuwa akina nani ,jivikeni usahaulifu ,maana tokea alianza kwa kucheka mwisho ikaaa anatangaza ,mtu akikohoa anamkodolea macho.
Una hakika na takwimu zake?
 
wanaokufa wote hawayajui hayo??
 
Mzee Corona.
Inaonekana yenyewe.
HAUITAJI UWE NA DEGREE KUJUA HILO.
Tunaweza tukaficha ukimwi .
Lakini sio Corona.
Maana inaambukiza na dalili zake Ni kuanzia 2-mpaka 14.
Kuona dalili zake.
Corona hapa TANZANIA ikiingia tarehe 17 mwezi wa 3.siku ya jumatatu.
NI wazi Kama ingekuwa bado ipo mpaka Leo tarehe21 disemba .
Tungekuwa tumeshakufa wa kutosha na wagonjwa wa kutosha wangekuwepo pia.
Na hata Kama Corona ipo Tanzania HAKUNA WA KUWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
 
Mmechoka sasa mmeanza kutafutizatafutiza tuvitu.
Yule Askofu wetu mwenye PhD yake alieweka waumini wake lockdown vipi bado anaendelea au alishakubaliana na JIWE?
Sasa hivi anasingizia watekaji washafika Karagwe! Lazima awe mwehu tu!
 
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
ficha ujinga sio wote wanakufa wakipata korona ,ila ugonjwa upo
 
Kwenye msiba wa baba yake joketi kuna ndoo za kunawa maji lakini unaambiwa hakuna Corona.

Juzi nilienda Muhimbili kumuona mgonjwa, madaktari wanasisitiza kuvaa barakoa na wanakataza msongamano lakini unaambiwa hakuna Corona.
Wakisema korona haipo, haizuii watu kujikinga! Hebu acheni uzwazwa nyie chandimu
 
Hapa tu Mimi nimeponea chupuchupu namshukuru Mungu na madaktari . huyo mdudu yupo jilinde
 
Punguza ujinga basi mjinga . ugonjwa upo. Mie ndo ntaachiwa hospital punde. Chukueni hatua nimepigania uhai for 3 weeks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…