Umepitia/Unapitia changamoto gani tangu umalize chuo mpaka sasa?

Biashara ngumu,hivyo yaani, asikuambie mtu.
 
Waoe haohao wa chuo waliokua hawakupigi vizinga
 
Hongera!
 
Mungu akufanyie wepesi
 
Duh! Pole Sana mkuu
 
Mapenzi na Hali mbaya za kiuchumi ndo adui wakubwa kea vijana wengi.
 
Kisukari, pressure, depression pamoja na usonji
 
Ahsante Sana mkuu kwa kutuhamasisha
 
Mimi nimepitia changamoto ya ajira need liajiriwa serikalini nikaondolewa kwenye payroll kimajungu baada ya kwenda masomoni kusoma fani tofauti na ajira.
Nilianza kurudi kazini 2018 mpaka Sasa Nina barua toka utumishi yenye check namba ikinitaka niombe ajira mamlaka yoyote ya ajira pindi tangazo litakapotoka ili nipangiwe kazi kulingana na uhitaji uliopo ndivyo barua inavyosema.
Kumbuka barua zangu zimecheza utumishi ikulu na wizara ya elimu.

Shida au changamoto nipitie wapi? Ili nifanikishe hatua ya mwisho. Niliwaza nimwandikie mama Samia changamoto je barua ataipata na kama ataipata je ni nini niandike mpaka aridhie kuniajiri? My no 0786601598
 
Ndugu mtanzania hapo sio majungu yaliyotumika kukuondoa kwenye ajira. Uliondolewa kisheria kwani mtu anapoenda kusoma akiwa kazini anatakiwa akasomee kilekile anachotumikia kwenye ajira ili kuongeza ufanisi.

Sasa ww unalipwa sekta A, umeenda kusomea Sekta B, maana yake umependa sekta B na ww unatakiwa uajiriwe huko huko ulikoenda kusomea, na inapaswa atafutwe mtu haraka ambae atakua na ufanisi kama wako endapo ungeenda kusomea kilekile.

Ndo maana ukapewa batua officially ya kukuruhusu kuomba ajira pinfi zitakapotangazwa.
 
Changamoto lililolikumba taifa kwa Sasa Ni huu mkataba ovu wa CCM na DP W.
 
Nina mashaka na afya yako ya akili
Kuna muda saa mbovu husema ukweli, sali sala ya toba kijana.

Tatizo lako unataka kuonyesha hukufanya hivyo ulivyoandika ila ndo ulifanya sasa.
Unataka kwa Mungu uwepo na jf pia ikuone rijali.
 
Miaka Mi4 kukaa porini huku nikisubiria Michongo itiki
Mpenzi Wangu alikosa uvumilie akaamua kuolewa Kwa kuisingizia familia yake kuwa imemshinikiza sana na kimtishia kumtenga.
Ila MUNGU ni kila kitu kilikuja kutimia baada ya muda alioupanga Mungu Mwenyewe.
 
Pia changamoto nyingine kwa sasa nina 27 years ninaona nmechelewa wenzangu wana kazi nzuri wana magari wanapost wanaenda sehem nzuri wanavaa nguo nzuri mi narudia rudia tu nguo
Relax..fanya kile ambacho kinaboresha maisha yako kila siku.Ipo siku itajibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…