Umerogwa sio bure: Unang'ang'ania Dar es miaka mingi, kula kwa shida, kulala kwa shida, unasafiri kwa shida huku kuna ardhi Tanzania haina mwenyewe

Tatizo tumeshawatambia watu kijijini tupo Dar kwenye flyover,tuna maisha mazuri

tutarudi kijijini watatuelewaje?😀😄

Huoni ndugu wakitutembelea kutoka mkoani hua tunajifanya na sisi tumepata dharura hatupo Dar?au kuzima simu kabisa wakifika stand?😝😝
 
Watu wanachuki ambazo hazina logic.
Majinga tu hayo yaliyofeli Dar na kukimbia mjini hayajui kuwa asilimia kubwa ya wanaofanya kazi kwa wahindi ni wazawa maana mgeni ni ngumu ku survive kwa mshahara wa mhindi na huko shambani sijui wanaamka saa sita ndo wanaenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…